Amekuwa mkweli wewe uamini.we mzee acha masihara miaka 65 huna mali yoyote? hebu weka hicho kipengele vizuri tukuelewe la sivo hapa utakosa mke.
HAPO UNATAFUTA PA KUFIA KIUKWELI....Ninafuatilia taraka kwa mke tuliyeshindwana kuendelea kuishi naye. Maswali yatajibiwa kwa potential wife through pm. Wasema hovyo wanaruhusiwa kuongea kuondoa stress zao. Ex wife anajijua, naomba usilete fujo kwenye pm, ila unaruhusiwa kujieleza hapa.
Maelezo ya msingi yanayo nihusu kusaidia mwenye kuamua
1. Sina mali yoyote, ila niko kuijenga
2. Umri miaka 65
3. Kazi, mkulima
4. Watoto wa kufikia 4, wote above 7 years
5. Dini sio muhimu.
Uliwahi kupita makaburini ukaangalia umri wa marehemu kadhaa! Wewe unajua siku ya kufa kwako? Uwe serious japo kwa kuiga!HAPO UNATAFUTA PA KUFIA KIUKWELI....
Asante japo mpaka muda huu naona orodha ya gold diggers tu! Hakuna wife materials.Nakutakia kila la kheri.
Hao watu nusu ndio wakoje? Mbona jamvi letu linasifika kwa kusheheni watu waliopevuka sana! Huyu naye vipi?Huyo mtu mzima keshamakiza yote, hataweza kukusumbua ifanyie kazi hiyo application
Wala siwapimi ndugu ila inanisaidia kujua pia kwamba wanawake wengi yamkini na wanaume wengine hawajui tafsiri halisi ya mali!Haha...
Zipo anawapima imani. Nenda walai utaleta mrejesho
Asante Patience nawasubiri hao walio seriousWalio serious watakuja.
Ila kwa nini msi solve migogoro yenu mkaishi mpaka mkazikana? Divorcing at 65?
Baba yangu umeniangusha.
Miss Natafuta kwani wewe mali unaitafsiri vipi?kwanini huyu mzee anaficha mali?
Hahahaaa ha ha! Sizitaki mbichi hizi. Tulisoma zamani sisi wa umri huo.nadhani kafukuzwa na begi lake tu
Idadi ya wanawake duniani inazidi wanaume. Wewe unataka wangapi? Au na wewe unatafuta! Kwanza hujapevuka wewe kutaka tukuoze mke.Wazee mnatubana bana tunakosa hewa humu....wakati wenu ulishapita......................
Hao watoto hawakui?Sasa huo umri babu si ukae tu ulee watoto
Nahitaji mmoja tu sio wengi. Mnamalizanaje sasa!? Kumbuka sitafuti mtu wa kujifurahisha tu! Natafuta mke.huyu babu tunamalizanaje nae?
Wewe ni uko kwenye ndoa za jinsia moja? Mimi nimezungumzia kupata mke.Kwa hiyo wee mzee unataka kuolewa au kuwa adopted?
Huku kwetu mwanamke huwa anaolewa. Sasa wasifu wako hausadifu mume mtarajiwa.Wewe ni uko kwenye ndoa za jinsia moja? Mimi nimezungumzia kupata mke.
Hulazimishwi kuwa mke mtarajiwa.Huku kwetu mwanamke huwa anaolewa. Sasa wasifu wako hausadifu mume mtarajiwa.