Ninachokiona CCM kufikia 2020.

Ninachokiona CCM kufikia 2020.

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,255
Reaction score
8,027
Kama hali ikiendelea hivi hivi, kuna uwezekano CCM wenyewe wakabadilisha mgombea wa Urais,tunaweza kubishana sana humu na kutupiana maneno makali sana lakini kwa ninavyoona hivi sasa ni kwamba watu wamechoka!waliochoka ni wananchi wa hali zote, sio maskini hata watumishi wa umma, wanafunzi wa Elimu ya juu ndio kabisa.

Sababu pekee ibayombaba rahisi Magufuli ni Utoaji wa Elimu bure ambalo nalo limelalamikiwa kwa pesa kufika kiduchu mashuleni kiasi cha shule kushindwa kujiendesha, Sababu nyingine inayoibeba serikali kwa sasa ni ununuzi wa ndege mbili ambazo mpaka sasa wananchi wanahoji unaufaikaji waokwa moja kwa moja na ndege hizo hasa maskini ikiwa hali ya maisha ni ngumu.

Kuna suala la watumishi hewa, hili ni jambo ambalo linadaiwa pamoja na kifanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini wataalam wa mambo wanadai kua pamoja na uhakiki huo kufanyika lakini bado matumizi ya pesa seriksli yanazidi kuongezeka tofauti na awali kabla ya uhakiki kuanza.

Kwahiyo Wanaccm wenyewe hawaridhishwi na hali ispokua wamekua ni waoga kulisemea kwa kuogopa kutumbuliwa, hii inaweza kuwafanya kufikia 2020 wakiwa na hasira ambazo wanaweza kuzimalizia kwenye sanduku la kura.

Watu hawawezi kuishi kwenye maisha magumu halafu warudi kumchagua tena Yule yule aliyewaumiza kwa muda mrefu, kwa hali hii kuna uwezekano mkubwa Rais aliyepo akaongoza kwa miaka 5 tu tofauti na inavyotarajia hivi sasa.
 
Kama hali ikiendelea hivi hivi, kuna uwezekano CCM wenyewe wakabadilisha mgombea wa Urais,tunaweza kubishana sana humu na kutupiana maneno makali sana lakini kwa ninavyoona hivi sasa ni kwamba watu wamechoka!waliochoka ni wananchi wa hali zote, sio maskini hata watumishi wa umma, wanafunzi wa Elimu ya juu ndio kabisa.

Sababu pekee ibayombaba rahisi Magufuli ni Utoaji wa Elimu bure ambalo nalo limelalamikiwa kwa pesa kufika kiduchu mashuleni kiasi cha shule kushindwa kujiendesha, Sababu nyingine inayoibeba serikali kwa sasa ni ununuzi wa ndege mbili ambazo mpaka sasa wananchi wanahoji unaufaikaji waokwa moja kwa moja na ndege hizo hasa maskini ikiwa hali ya maisha ni ngumu.


Kuna suala la watumishi hewa, hili ni jambo ambalo linadaiwa pamoja na kifanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini wataalam wa mambo wanadai kua pamoja na uhakiki huo kufanyika lakini bado matumizi ya pesa seriksli yanazidi kuongezeka tofauti na awali kabla ya uhakiki kuanza.


Kwahiyo Wanaccm wenyewe hawaridhishwi na hali ispokua wamekua ni waoga kulisemea kwa kuogopa kutumbuliwa, hii inaweza kuwafanya kufikia 2020 wakiwa na hasira ambazo wanaweza kuzimalizia kwenye sanduku la kura.

Watu hawawezi kuishi kwenye maisha magumu halafu warudi kumchagua tena Yule yule aliyewaumiza kwa muda mrefu, kwa hali hii kuna uwezekano mkubwa Rais aliyepo akaongoza kwa miaka 5 tu tofauti na inavyotarajia hivi sasa.
AAaa watanzania ni wa ajabu kwelikweli aliye tuloga kafa, kuna watu wamejitoa ufahamu wanatoa sifa zote za mbinguni mpaka duniani.
 
Yeye si ndo mwenyekiti?

ataenda na majina yake mfukoni.
 
Kama hali ikiendelea hivi hivi, kuna uwezekano CCM wenyewe wakabadilisha mgombea wa Urais,tunaweza kubishana sana humu na kutupiana maneno makali sana lakini kwa ninavyoona hivi sasa ni kwamba watu wamechoka!waliochoka ni wananchi wa hali zote, sio maskini hata watumishi wa umma, wanafunzi wa Elimu ya juu ndio kabisa.

Sababu pekee ibayombaba rahisi Magufuli ni Utoaji wa Elimu bure ambalo nalo limelalamikiwa kwa pesa kufika kiduchu mashuleni kiasi cha shule kushindwa kujiendesha, Sababu nyingine inayoibeba serikali kwa sasa ni ununuzi wa ndege mbili ambazo mpaka sasa wananchi wanahoji unaufaikaji waokwa moja kwa moja na ndege hizo hasa maskini ikiwa hali ya maisha ni ngumu.


Kuna suala la watumishi hewa, hili ni jambo ambalo linadaiwa pamoja na kifanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini wataalam wa mambo wanadai kua pamoja na uhakiki huo kufanyika lakini bado matumizi ya pesa seriksli yanazidi kuongezeka tofauti na awali kabla ya uhakiki kuanza.


Kwahiyo Wanaccm wenyewe hawaridhishwi na hali ispokua wamekua ni waoga kulisemea kwa kuogopa kutumbuliwa, hii inaweza kuwafanya kufikia 2020 wakiwa na hasira ambazo wanaweza kuzimalizia kwenye sanduku la kura.

Watu hawawezi kuishi kwenye maisha magumu halafu warudi kumchagua tena Yule yule aliyewaumiza kwa muda mrefu, kwa hali hii kuna uwezekano mkubwa Rais aliyepo akaongoza kwa miaka 5 tu tofauti na inavyotarajia hivi sasa.
Ata mimi ninachokiona 2020 Magufuli kuibuka na ushindi wa 80% maana watanzania wengi wanamuelewa wana uhakika kesho yao ni nzuri zaidi kuliko wangemkabidhi nchi FISADI KUU.

Mwenyekiti CCM JF
 
Namkumbukq mkosa Mali bungeni,nanukuu,*#HAWA WATU JAMAN TUNAOMBA MTUELEWE HAWANA UWEZO WAKUONGOZA,WATANZANIA WAKICHAGUA CCM MWAKA HUU,NASHAURI TUTAFUTE CONSULTANCY,WAPIMWE UWEZO WAO
 
Watambadilisha tu hata wao washagundua
 
Vijana wamemaliza f6 juzi Basi kila kitu wanajua wao. Welcome to life, mtaishiwa nguvu hata kabla ya kampeni zijazo, muda wa kazi huu
 
Mnachekesha kweli .....

Huyu huyu Dicteta........

Awaachie nchi hivi hivi........

Suburini ushindi wa kupika wa 75% na muendelee kulia lia. .....
 
Inawezekana maneno yako yakatimia, lakini uchaguzi wa ndani wa chama mwakani ndo hasa utatoa taswira ya CCM kuelekea 2020. Kuna mambo yanaendelea chn kwa chn ambayo yanatia mashaka hasa uungwaji mkono hafifu anaoupata JPM na makada wakongwe wa chama hicho na wengine walidiriki kuonyesha hadharani tofauti zao since day 1....... cc Benard Kamillius Membe
 
Nina mashaka kama mkuu ana mapenzi na chama chake,nadhani alisha chukizwa kuona watu wanavyonyanyaswa hivyo kwa jinsi anavyofanya ni njia ya kuwafanya watu kuchukia ili 2020 lichama lake lizikwe mazima.
Mtarudi kunikumbuka,tuombe uzima kwa Mungu pia atusaidie kumbukumbu
 
Kama hali ikiendelea hivi hivi, kuna uwezekano CCM wenyewe wakabadilisha mgombea wa Urais,tunaweza kubishana sana humu na kutupiana maneno makali sana lakini kwa ninavyoona hivi sasa ni kwamba watu wamechoka!waliochoka ni wananchi wa hali zote, sio maskini hata watumishi wa umma, wanafunzi wa Elimu ya juu ndio kabisa.

Sababu pekee ibayombaba rahisi Magufuli ni Utoaji wa Elimu bure ambalo nalo limelalamikiwa kwa pesa kufika kiduchu mashuleni kiasi cha shule kushindwa kujiendesha, Sababu nyingine inayoibeba serikali kwa sasa ni ununuzi wa ndege mbili ambazo mpaka sasa wananchi wanahoji unaufaikaji waokwa moja kwa moja na ndege hizo hasa maskini ikiwa hali ya maisha ni ngumu.


Kuna suala la watumishi hewa, hili ni jambo ambalo linadaiwa pamoja na kifanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini wataalam wa mambo wanadai kua pamoja na uhakiki huo kufanyika lakini bado matumizi ya pesa seriksli yanazidi kuongezeka tofauti na awali kabla ya uhakiki kuanza.


Kwahiyo Wanaccm wenyewe hawaridhishwi na hali ispokua wamekua ni waoga kulisemea kwa kuogopa kutumbuliwa, hii inaweza kuwafanya kufikia 2020 wakiwa na hasira ambazo wanaweza kuzimalizia kwenye sanduku la kura.

Watu hawawezi kuishi kwenye maisha magumu halafu warudi kumchagua tena Yule yule aliyewaumiza kwa muda mrefu, kwa hali hii kuna uwezekano mkubwa Rais aliyepo akaongoza kwa miaka 5 tu tofauti na inavyotarajia hivi sasa.
Mnaanza kuzungusha mikono mapema namna hii, si mtakua mmechoka hoi 2020?
 
Kama hali ikiendelea hivi hivi, kuna uwezekano CCM wenyewe wakabadilisha mgombea wa Urais,tunaweza kubishana sana humu na kutupiana maneno makali sana lakini kwa ninavyoona hivi sasa ni kwamba watu wamechoka!waliochoka ni wananchi wa hali zote, sio maskini hata watumishi wa umma, wanafunzi wa Elimu ya juu ndio kabisa.

Sababu pekee ibayombaba rahisi Magufuli ni Utoaji wa Elimu bure ambalo nalo limelalamikiwa kwa pesa kufika kiduchu mashuleni kiasi cha shule kushindwa kujiendesha, Sababu nyingine inayoibeba serikali kwa sasa ni ununuzi wa ndege mbili ambazo mpaka sasa wananchi wanahoji unaufaikaji waokwa moja kwa moja na ndege hizo hasa maskini ikiwa hali ya maisha ni ngumu.


Kuna suala la watumishi hewa, hili ni jambo ambalo linadaiwa pamoja na kifanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini wataalam wa mambo wanadai kua pamoja na uhakiki huo kufanyika lakini bado matumizi ya pesa seriksli yanazidi kuongezeka tofauti na awali kabla ya uhakiki kuanza.


Kwahiyo Wanaccm wenyewe hawaridhishwi na hali ispokua wamekua ni waoga kulisemea kwa kuogopa kutumbuliwa, hii inaweza kuwafanya kufikia 2020 wakiwa na hasira ambazo wanaweza kuzimalizia kwenye sanduku la kura.

Watu hawawezi kuishi kwenye maisha magumu halafu warudi kumchagua tena Yule yule aliyewaumiza kwa muda mrefu, kwa hali hii kuna uwezekano mkubwa Rais aliyepo akaongoza kwa miaka 5 tu tofauti na inavyotarajia hivi sasa.
Najua hali hii haiwezi kuendelea mpaka huko 2020,pili hata ikiendelea watu watakua wameshajua namna ya kuishi nayo kwa hiyo aliyepo atachaguliwa tu.Sasa hivi Kilio ni kikubwa kwakua aliyepo ameleta mabadilko ambayo wengi hawakuzoea lkn ni mazuri.
 
Mleta hoja nafikiri haifahamu vizuri Tanzania. Hao watu walioelimika ki-hivyo wako wapi? Mbona chama hiki kimeshatoa ahadi hewa nyingi tu (naweza kusema kwa zaidi ya miaka 50 sasa) lakini bado kinachaguliwa kila uchaguzi unapofika? Hata sasa, kila mtu anajua kabisa hawatatekeleza ahadi walizoahidi (Kwani kuna mwendawazimu anaamini Tanzania itakuwa nchi ya viwanda ndani ya hii miaka 10?), but you can still be sure they will be elected. Tanzania kuwa moja ya nchi maskini duniani ina maana nyingi, si wananchi wengi kutokuwa na kipato cha kujikimu maisha tu, think of something else.....
 
Kama hali ikiendelea hivi hivi, kuna uwezekano CCM wenyewe wakabadilisha mgombea wa Urais,tunaweza kubishana sana humu na kutupiana maneno makali sana lakini kwa ninavyoona hivi sasa ni kwamba watu wamechoka!waliochoka ni wananchi wa hali zote, sio maskini hata watumishi wa umma, wanafunzi wa Elimu ya juu ndio kabisa.

Sababu pekee ibayombaba rahisi Magufuli ni Utoaji wa Elimu bure ambalo nalo limelalamikiwa kwa pesa kufika kiduchu mashuleni kiasi cha shule kushindwa kujiendesha, Sababu nyingine inayoibeba serikali kwa sasa ni ununuzi wa ndege mbili ambazo mpaka sasa wananchi wanahoji unaufaikaji waokwa moja kwa moja na ndege hizo hasa maskini ikiwa hali ya maisha ni ngumu.


Kuna suala la watumishi hewa, hili ni jambo ambalo linadaiwa pamoja na kifanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini wataalam wa mambo wanadai kua pamoja na uhakiki huo kufanyika lakini bado matumizi ya pesa seriksli yanazidi kuongezeka tofauti na awali kabla ya uhakiki kuanza.


Kwahiyo Wanaccm wenyewe hawaridhishwi na hali ispokua wamekua ni waoga kulisemea kwa kuogopa kutumbuliwa, hii inaweza kuwafanya kufikia 2020 wakiwa na hasira ambazo wanaweza kuzimalizia kwenye sanduku la kura.

Watu hawawezi kuishi kwenye maisha magumu halafu warudi kumchagua tena Yule yule aliyewaumiza kwa muda mrefu, kwa hali hii kuna uwezekano mkubwa Rais aliyepo akaongoza kwa miaka 5 tu tofauti na inavyotarajia hivi sasa.
Umekosa cha kuandika
 
Namkumbukq mkosa Mali bungeni,nanukuu,*#HAWA WATU JAMAN TUNAOMBA MTUELEWE HAWANA UWEZO WAKUONGOZA,WATANZANIA WAKICHAGUA CCM MWAKA HUU,NASHAURI TUTAFUTE CONSULTANCY,WAPIMWE UWEZO WAO
Yeye ndo yakamtokea puani, fikirini kabla ya kuongea ccm ni chama Dume
 
Ata mimi ninachokiona 2020 Magufuli kuibuka na ushindi wa 80% maana watanzania wengi wanamuelewa wana uhakika kesho yao ni nzuri zaidi kuliko wangemkabidhi nchi FISADI KUU.

Mwenyekiti CCM JF
hata mimi sio ata mimi, ila jipe moyo tu
 
Ata mimi ninachokiona 2020 Magufuli kuibuka na ushindi wa 80% maana watanzania wengi wanamuelewa wana uhakika kesho yao ni nzuri zaidi kuliko wangemkabidhi nchi FISADI KUU.

Mwenyekiti CCM JF
kaka usidhani CCM uko peke yako!hata mimi ni CCM lakini maisha ni magumu na sio kweli eti wanaolalamika maisha magumu ni watu wa MADILI.Ukweli ni kwamba uchumi wetu UMEPATWA na hali ya uchumi haiwezi kutengemaa kwamda wa miaka mitano au kumi maana uchumi wetu UMECHOKONOLEWA VIBAYA SANA KWENYE INJINI.

NB;Sina mawazo ya kupigia kura upinzani wala kuhamia upinzani lakini ukweli lazima usemwe,pia kua na huruma na wenzio usidhani wanaolalamika wote ni wajinga.KUCHAMBA KWINGI MWISHOWE KUSHIKA MAVI
 
Back
Top Bottom