Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Ngoja nikudhauri kinyesi cha nguruwe , fala we.Nakupenda mtt mzuri tunafanyaje sasa?
Ngoja nikudhauri kinyesi cha nguruwe , fala we.Nakupenda mtt mzuri tunafanyaje sasa?
Mumu dada na rafiki yangu, miss yah muchUmekutana na shouugeerrr shostii![]()
![]()
![]()
Msije kufukuana tope mkuu.......unakuta wote ni masela........Mimi nakuelewa mtt mzuri..usiwe mchoyo kias icho
Afadhali umemwambia wewe.Umekutana na shouugeerrr shostii![]()
![]()
![]()
Wa mkoa gani hawa babyyy .....nimecheka mnoUmeona kujiamin kwa huyu bwana harusi ???? Embu nyote tazameni *huyo Dada alosimama nyuma ya hawa wanaharusi![]()
![]()
Huyu mama ni kila.za kweli.Yaani mwanaume usitumie mafuta/vitu vya gharama kisa nini haswa.Akitaka mwanaume wa dizaini yake aende vijijini kwa wachunga ng'ombe ndo wanapaka mafuta ya ng'ombe.Kwahiyo tukitoka we ukiagiza chips mi naagiza ugali sio,
Halafu ukibakiza zile chips nakwambia leta hapa nizimalizie eti eeeh,
Kwa siku nioge mara moja tu halafu napaka mafuta ya 300 hata ya kula kama yapo karibu eti,
Wa mkoa gani hawa babyyy .....nimecheka mno
subir uone siku nakuoa ,, mbn iko kioja nikidogo !!!.

Tangaza njaa mkuu...ili ucheki kama ni bwawa au kisima........Huyu dogo ni manzi vyanzo vyangu makini vimenihabarisha..na ni bonge la demu mkuu..pitia uandish wake
Daaaah utaniuwaa kwa kuchekaaaa mwenzioo....![]()
![]()
![]()
![]()
subir uone siku nakuoa ,, mbn iko kioja nikidogo !!!.
hao wanatokea ndani ndani uko ,ambako siku ya sherehe inahesabiwa km siku yakipekee sanaaa ambayo unatakiwa muwaumize watu Roho![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mima nakupenda nataka nikuchape kimojaDaaaah utaniuwaa kwa kuchekaaaa mwenzioo....
Mnajitokeza huko mlipojificha wapaka poda wakubwa nyie...Huyu mama ni kila.za kweli.Yaani mwanaume usitumie mafuta/vitu vya gharama kisa nini haswa.Akitaka mwanaume wa dizaini yake aende vijijini kwa wachunga ng'ombe ndo wanapaka mafuta ya ng'ombe.
Jamaaaaan usife mwayaaaa ,,sasa nitamchekesha nani naunajuaa upo pekee ako ??? Aya sasa ,,au unataka namm siku ya harusi nikufanyie km huyu ndugu yanguDaaaah utaniuwaa kwa kuchekaaaa mwenzioo....
ha ha haaa mama weeee kwa mambo haya utanifanya siku ya harusi Ilo shela nilishone kimini kwakweli .na kakumbuka sana tu.Jamaaaaan usife mwayaaaa ,,sasa nitamchekesha nani naunajuaa upo pekee ako ??? Aya sasa ,,au unataka namm siku ya harusi nikufanyie km huyu ndugu yangu![]()
![]()
siunajua kale kaahadi kakukufanya ucheke Muda wote ?????![]()
Basi tulia ivo ivo ,nikupe vyamoto vyakoo,, basi km niivo ,mie nitavaa zangu jezi ya Man U wee uvae shela yakooha ha haaa mama weeee kwa mambo haya utanifanya siku ya harusi Ilo shela nilishone kimini kwakweli .na kakumbuka sana tu.
Basi tulia ivo ivo ,nikupe vyamoto vyakoo,, basi km niivo ,mie nitavaa zangu jezi ya Man U wee uvae shela yakooha ha haaa mama weeee kwa mambo haya utanifanya siku ya harusi Ilo shela nilishone kimini kwakweli .na kakumbuka sana tu.
😀😀😀 ha ha ha ha haaaaaBasi tulia ivo ivo ,nikupe vyamoto vyakoo,, basi km niivo ,mie nitavaa zangu jezi ya Man U wee uvae shela yakoomambo yawe km hayo !!.![]()
Mishyuuuu moooo...Mumu dada na rafiki yangu, miss yah much