Beauty Eva
Senior Member
- Jul 22, 2016
- 131
- 374
Kijana Shabab kabisa. Unapaka poda, unalegeza sauti na kuongea kama mwanamke. Mwili unaulegeza kama mwanamke.
Outing unakula soseji moja na nusu glasi ya juisi, halafu unajitia huwezi kumaliza.
Maongezi yako yote, ni kujisifia. Gari unaloendesha umeazima..Lol
Mwanaume unatakiwa ujiamini. Ishi kiume, kupretend waachie wanawake.
Kama huna kitu, ndo hali yako.Ila onesha namna unavyoweza kupambana na hatimaye kupata matokeo.
Ninyi wanaume wa Dar vipi?
Outing unakula soseji moja na nusu glasi ya juisi, halafu unajitia huwezi kumaliza.
Maongezi yako yote, ni kujisifia. Gari unaloendesha umeazima..Lol
Mwanaume unatakiwa ujiamini. Ishi kiume, kupretend waachie wanawake.
Kama huna kitu, ndo hali yako.Ila onesha namna unavyoweza kupambana na hatimaye kupata matokeo.
Ninyi wanaume wa Dar vipi?