nina wasiwasi

kanewi

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
298
199
naomba wajuzi wa mambo mnisaidie,mimi ni mtumiaj wa bia aina ya Tasker ya baridi kwa mda mrefu sana yapata miaka zaidi ya kumi,kuna mtu siku za karibuni kaniambia kuwa zinapunguza uwezo wa manii katika kutunga mimba,.je kuna ukweri wowote na hilo?,nina mke na mtoto mmoja.,
 
huyo mtoto wa kwanza ana umri gani?
tafuta wa pili...utapata majibu!
 
Alikupa theory hiyo ni kilaza sana,sababu navyo jua kuhusu Bia Zinakuwa zimezibitishwa na Mashirika ya afya cha kushauri tafuta Mtoto mwingine ikishindika utakuwa umefanikisha lengo lako.
 
naomba wajuzi wa mambo mnisaidie,mimi ni mtumiaj wa bia aina ya Tasker ya baridi kwa mda mrefu sana yapata miaka zaidi ya kumi,kuna mtu siku za karibuni kaniambia kuwa zinapunguza uwezo wa manii katika kutunga mimba,.je kuna ukweri wowote na hilo?,nina mke na mtoto mmoja.,

Bia haipunguzi uwezo wa kutungisha mimba mkuu.
 
Back
Top Bottom