naomba wajuzi wa mambo mnisaidie,mimi ni mtumiaj wa bia aina ya Tasker ya baridi kwa mda mrefu sana yapata miaka zaidi ya kumi,kuna mtu siku za karibuni kaniambia kuwa zinapunguza uwezo wa manii katika kutunga mimba,.je kuna ukweri wowote na hilo?,nina mke na mtoto mmoja.,