Nina wasiwasi na mke wangu...

Mkuu nilimruhusu sababu yakusema ameitwa na dadazake but haijulikani nini shida kwakuwa ni familia yake nikamruhu aende ili tujue nini shida huko
Hata kama ni ndugu zake sio ki rahisi hivyo huyo ni mkeo na hizo sababu za kuitwa ulipaswa uzielewe.

Bro inaonyesha sijui kama kweli unawafahamu ndugu zake, suala la kumwita tu mke wa mtu bila mwenye mke kupewa taarifa pia!! Mmmmh sidhani?

Hiyo ilikuwa ni safari ya kwenda kuliwa na inawezekana sio singida wala Dom, ni karibu karibu tu.

Pole sana ila.mambo ya ndoa yunakutana na mitihani sana.
 
Acha tu mie saizi upendo wangu najua nitapeleka wapi wabongo wanachoshaga sana
 
Yasikie kwa watu tu niliwahi kumpeleka shule binti Mmoja form 2 Hadi form six yupo fresh to ile amefika university niliona rangi zote
 
Umefeli sana hujakomaa kiakili na mkeo anakumudu sana, badala ya kuchukua namba ya waliomuita uulize, kimsingi mwenye shida na mkeo anapaswa akupigie wewe ndio uambiwe shida, mkeo yuko ndani ya himaya yako, huyo mwanamke anakumudu sana, pole sana sana. Usikute hujatrack location ya simu ya mkeo muda wote unadanganywa.

Kmmmdake ndiomana kuoa ni ungese mtupu.
 
Usiongee mengi mkuu, tena sio dom tu huo mchepuko ametoka nao hapo dar kufika dom akaliwa akaenda singida kuzuga akarudi dom akapigwa mpaka vidonda vya tumbo vikasimama wahi stand ya basi bila ye kujua bana pembeni utaona anaagana na mume mwenzio..
 
Kudadeki ukitaka kujua jinsi watu wanavyopigiwa angalia Uzi huu unavotembea, hisia kama zote, huu ndio Uzi wa kusoma comments mume nguvu yake ikoje na anapaswa kuwa namna gani.
 
Bado hujachelewa unaweza kutrack ndani ya masaa 72 au 96 unaweza kujua simu ya mkeo imetumika ikawa minara ya sehemu gani technology Haidanganyi
 
Kwani mzee baba wewe ukiwa kama mwanamume aliyekamilika hauna kabisa michepuko?

Kama unao basi fresh ngoma droo. Potezea tu
 
Kwa waliosoma Cuba ni kwamba hiyo safari ilikuwa ya Dodoma na hakufika hata huko Singida. We muulize vizuri tu akueleze huko Doeoma alienda kufanya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…