Nina wasiwasi na hii Gari, ushauri wenu

Habari za usiku wataalam

Jaman mimi nasema ukweli kwenye magari bado ni mshamba nilijichanga changa nikanunua gari ya kunisadia mishe za hapa na pale ni Toyota IST, gari naweza sema bado ni mbichi ina kama miezi 3.

Hili jukwaa limekua na msaada sana kwangu napata elimu sana kuhusu magari. Ndugu zangu nina week nimefanya service ya gari hii service ya2 baada ya kuagza gari. Service ya kwanza nilitumia oil ya total quartz.

Service ya pili niliamua kubadili oil na kutumia Lique Molly baada ya kuona watu wanaisifia sana, wakati tunabadili filter tuligundua wale jamaa wa mwanzo hawakubadili filter so walinipiga hela ya filter.

Kwenye service ya2 mafundi walishauri nisafishe engine kwa kutumia engine flush ili kutoa uchafu, na nikafanya service ya oil ya gear box ambapo tulitumia T-IV fundi alikagua akasema gari haijafanyiwa service kwenye gearbox hivo nibadli oil.

Tuje kwa mada, baada ya service kuna kitu naona hakipo sawa kwa kawaida gari ikiwashwa lazma itoe moshi fulani hivi wa mbali ila sahivi sioni kingine wakati fundi kafanya service aliitest gari kuna maji meupe matone yalikua yana dondoka kwenye bomba la moshi nilivomuuliza fundi akasema hapo engine ipo sawa nisiwe na wasiwasi ila sahvi sion kabisa yakidondoka.

Gari ile rpm haivuki mbili hta wakati inatoka japan ilikua hivohvo ikifika3 inarud mpaka2 au chini ya 2, kingine ukiwasha rpm haizid moja au inakua nusu.

Kutokutoa moshi na maji ndo kunanichanganya kwasababu najua moshi ni matokeo ya kuwa mafuta yamechomwa na ni ule ni uchafu, nisaidieni wataalamu wa magari.
mzee katika vitu vya kuwa navyo makini kwenye kuvichokonoa basi ni hydroulic ya gear box kwani ukiikosea tu jua upo kwenye hati hati ya kwenda kununua mpya
 
Mkuu kama unaweza kusubiri mpka upate hela ya kutosha kuagiza bora ufanye hivyo, gari za mkononi nyingi majanga na kama ndo gari ya kwanza kumiliki kushikishwa kimeo ni rahisi sana.
Inategemea mkuu mimi niliinunua Toyota Corolla Kwa milioni 7 huu ni mwaka wa sita kazi yangu ni kubadili oil, tairi, shock up etc... Napiga nayo ruti za Dar - Sumbawanga, Dar - Kigoma kama kawa. Engine bomba kabisa yaani...
 
Kila ukifanyiwa Service hakikisha unakuwepo--kama haupo uwe unamwamini SANA huyo fundi.
Range ya kubadilisha oil ni km3000 had km5000 kwa hizi oil zinazopatikana kila mahali(option bora kabisa ni Castrol au Total 5W-30)
Unaponunua gari kutoka Japan--unashauriwa kufanya service ya Oil,kubadilisha filter,aircleaner filter etc--Gearbox oil kama itaonyesha dalili za kuisha nguvu(fundi mzuri anaweza kukuambia kwa kuigusa tu ile oil uzito wake),pia mokorokoro ya chini kama utasikia inagonga gonga,hakikisha kila kitu kimekazwa vizuri(muombe fundi akuangalizie).
Kwa swala la gari lako kutoa maji kwenye exhaust-ni jambo la kawaida,tena zuri--hii inamaanisha mafuta yanachomwa vizuri na hakuna oil inayochomwa wakati engine inazunguka.
RPM kukaa chini ya 1--that is perfect--inatakiwa iwe hivyo ukiliwasha tu inapanda hadi 1.5 then inashuka hadi 0.5.
KITUNZE KIDUMU.
 
Hata mimi nilikua mshamba kama wewe mwanzoni.

Kina Extrovert na Mad Max na yule mshikaji anaitwa gwankaja wakawa wanani-brush.

Japo sometime walikua wananipiga madongo na maneno ya kebehi nilikua nakasirika kissenge lakin ndio walinisaidia nikapata experience ya makorokoro ya magari.
Ila umejifunza funza mambo sahizi
 
Habari za usiku wataalam

Jaman mimi nasema ukweli kwenye magari bado ni mshamba nilijichanga changa nikanunua gari ya kunisadia mishe za hapa na pale ni Toyota IST, gari naweza sema bado ni mbichi ina kama miezi 3.

Hili jukwaa limekua na msaada sana kwangu napata elimu sana kuhusu magari. Ndugu zangu nina week nimefanya service ya gari hii service ya2 baada ya kuagza gari. Service ya kwanza nilitumia oil ya total quartz.

Service ya pili niliamua kubadili oil na kutumia Lique Molly baada ya kuona watu wanaisifia sana, wakati tunabadili filter tuligundua wale jamaa wa mwanzo hawakubadili filter so walinipiga hela ya filter.

Kwenye service ya2 mafundi walishauri nisafishe engine kwa kutumia engine flush ili kutoa uchafu, na nikafanya service ya oil ya gear box ambapo tulitumia T-IV fundi alikagua akasema gari haijafanyiwa service kwenye gearbox hivo nibadli oil.

Tuje kwa mada, baada ya service kuna kitu naona hakipo sawa kwa kawaida gari ikiwashwa lazma itoe moshi fulani hivi wa mbali ila sahivi sioni kingine wakati fundi kafanya service aliitest gari kuna maji meupe matone yalikua yana dondoka kwenye bomba la moshi nilivomuuliza fundi akasema hapo engine ipo sawa nisiwe na wasiwasi ila sahvi sion kabisa yakidondoka.

Gari ile rpm haivuki mbili hta wakati inatoka japan ilikua hivohvo ikifika3 inarud mpaka2 au chini ya 2, kingine ukiwasha rpm haizid moja au inakua nusu.

Kutokutoa moshi na maji ndo kunanichanganya kwasababu najua moshi ni matokeo ya kuwa mafuta yamechomwa na ni ule ni uchafu, nisaidieni wataalamu wa magari.

Usisikilize ushauri wa mafundi waongo sana, pata mafundi from recommendation ya watu unaowaamini
 
Daaaah pole sanaaa kiongoz gariii umenunua kwa mtu au umeagiza maana ukwel humweka mtu huru pia kama umeagiza service ya engine oil ulibadilii baada ya muda gan pia gearbox oil ungebadili baada ya service hata 2 au 3 sa engine oil maana ile gearbox inakuja na gar ni standard kuliko hizo Rubex t4 walizokuwekea kingine nn imetokea baada hiyo service
 
Daaaah pole sanaaa kiongoz gariii umenunua kwa mtu au umeagiza maana ukwel humweka mtu huru pia kama umeagiza service ya engine oil ulibadilii baada ya muda gan pia gearbox oil ungebadili baada ya service hata 2 au 3 sa engine oil maana ile gearbox inakuja na gar ni standard kuliko hizo Rubex t4 walizokuwekea kingine nn imetokea baada hiyo service
Hata jamaa walisema hvo oil ya gearbox sio lazma kubadilisha, ila baada ya kuchek ikaonekana ni chafu sana akashauri nimwage inaweza leta shida ila tuliweka og kutoka toyota, gari nilipeleka garage inayoeleweka sio za chin ya mti. Tokq nimebadili naona mabadiliko kwenye gari inachanganya fasta sana tofauti na before.
Oil ya gearbox inatakiwa ibadilishwe ndani ya muda gani?
 
Jana nilikua mataa ya Morocco sasa nikaona mtu kashuka kwenye gari chap akainama chini kuzunguka gari akarudi ndani, kuangalia namba ya gari nikaona DXE nikajua jamaa anawenge la gari mpya
 
Hata jamaa walisema hvo oil ya gearbox sio lazma kubadilisha, ila baada ya kuchek ikaonekana ni chafu sana akashauri nimwage inaweza leta shida ila tuliweka og kutoka toyota, gari nilipeleka garage inayoeleweka sio za chin ya mti. Tokq nimebadili naona mabadiliko kwenye gari inachanganya fasta sana tofauti na before.
Oil ya gearbox inatakiwa ibadilishwe ndani ya muda gani?
Oil ya gearbox vema kuibadili ukigonga km90000-100000.
 
Kila ukifanyiwa Service hakikisha unakuwepo--kama haupo uwe unamwamini SANA huyo fundi.
Range ya kubadilisha oil ni km3000 had km5000 kwa hizi oil zinazopatikana kila mahali(option bora kabisa ni Castrol au Total 5W-30)
Unaponunua gari kutoka Japan--unashauriwa kufanya service ya Oil,kubadilisha filter,aircleaner filter etc--Gearbox oil kama itaonyesha dalili za kuisha nguvu(fundi mzuri anaweza kukuambia kwa kuigusa tu ile oil uzito wake),pia mokorokoro ya chini kama utasikia inagonga gonga,hakikisha kila kitu kimekazwa vizuri(muombe fundi akuangalizie).
Kwa swala la gari lako kutoa maji kwenye exhaust-ni jambo la kawaida,tena zuri--hii inamaanisha mafuta yanachomwa vizuri na hakuna oil inayochomwa wakati engine inazunguka.
RPM kukaa chini ya 1--that is perfect--inatakiwa iwe hivyo ukiliwasha tu inapanda hadi 1.5 then inashuka hadi 0.5.
KITUNZE KIDUMU.
Mkuu kama hutojali naomba kufahamu kama ni sawa kuweka hii oil kwenye Toyota IST, mwaka 2004, cc1300, 2NZ NCP60
IMG_20211013_152215.jpg

Fundi anadai hiyo 5w-30 ni kwa nchi zenye baridi ila kwa bongo hiyo pichani ndio inafaa.
Cc: RRONDO Extrovert deedee
 
Bagamoyo road ndo daily niko na hii road, naweza kufika hadi speed 100 na gari imetulia nimefanya wheel balance & alignement hta nifike 100 rpm haizd 2 nataka niende mkoani hapa nais ndo nitaisoma vzr zaid.
Okay basi hakuna shida na kwa maelezo yako hapo it means unatumia overdrive. Na ukitazama hapo kwenye dashboard hiyo taa ya overdrive itakuwa ipo Off.
 
Hata jamaa walisema hvo oil ya gearbox sio lazma kubadilisha, ila baada ya kuchek ikaonekana ni chafu sana akashauri nimwage inaweza leta shida ila tuliweka og kutoka toyota, gari nilipeleka garage inayoeleweka sio za chin ya mti. Tokq nimebadili naona mabadiliko kwenye gari inachanganya fasta sana tofauti na before.
Oil ya gearbox inatakiwa ibadilishwe ndani ya muda gani?
Haujakosea kubadili ila gear box hydraulic inakaa muda sana.
 
Back
Top Bottom