ludoking
Senior Member
- Oct 5, 2008
- 124
- 71
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yanayotegemewa na wengi isiwe kiini macho kama kuhamisha pesa toka mfuko wa kushoto kwenda mfuko wa kulia. Hatutarajii sura zile zile kuhamishiwa wizara tofauti. Tunataka sura mpya zenye uzalendo na zisizo na kashfa. Na wale wote waliokumbwa na kashfa za ubadhilifu, isiishie tu kutolewa kwenye nyadhifa zao....wafirisiwe