Nina wasiwasi na ajira ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO

Yaani Arusha huu umeme ni balaa blue,kwa mfano tangia jana saa moja mpaka saizi saa nne hakuna umeme tena bila maelezo wala taarifa,ubabe uliotukuka huu
 
unajua kazi ninayoifanya?bila huo umeme naifanyaje we ndio mramba?kama ni wewe basi maaa mae

Mkuu ngoja na mimi nimuongezee huyu maa mae Koleba..
Arusha cc wajasiria mali tunategemea huo umeme..Yeye anasema hapa kazi tuu( kauli nzuri sawa) lakini sio kwa hili la taneasco Arusha..

Ndugu Koleba unavyosema turipoti tatizo tanesco je unataka turipoti huu mgao wenu wakipuzi tanesco tena..!!!? bila shaka wewe ni jipu pia unasubiria kukamuliwa shwain..
 
Mkuu ngoja na mimi nimuongezee huyu maa mae Koleba..
Arusha cc wajasiria mali tunategemea huo umeme..Yeye anasema hapa kazi tuu( kauli nzuri sawa) lakini sio kwa hili la taneasco Arusha..

Ndugu Koleba unavyosema turipoti tatizo tanesco je unataka turipoti huu mgao wenu wakipuzi tanesco tena..!!!? bila shaka wewe ni jipu pia unasubiria kukamuliwa shwain..

Mkuu kama unatatizo la umeme unatakiwa kutoa taarifa TANESCO sio JF.

Ukitoa taarifa watakupatia TB no. ambayo inasaidia kufuatilia.

Ni PM namba yako niweze kukusaidia sehemu husika.
 
Akalime kahawa Rombo.
Anazalisha umeme wa ziada kwa sasa but bado mgao inaendelea baadhi ya maeneo ukiuliza matengenezo ivi usiku wa manane mnakuwa mwatengeneza nini?

Nani kakudanganya unazalishwa umeme wa ziada? Unajua jiji la Dar linachukua MW ngapi? Jumla ya vituo vinavyofua umeme kwa kutumia gesi ni (5). Ubungo1 (102MW), Ubungo 11(105 MW), Songas (189 MW), Tegeta (45MW), Sumbion (T) Ltd (112MW).
TANESCO inatekeleza miradi mingine 7 ya kufua umeme kwa kutumia Nishati ya gesi asilia ktk Mikoa ya Dar, Mtwara na Lindi.

Kiasi cha umeme unaofuliwa sasa kwa kutumia gesi asilia unafika MW 546na miradi ikikamiilika itazalishwa jumla ya MW 2,475
 
Ndugu umenena TANESCO ingepata mshindani ingebadilika kwanza humohumo ndani ndio vishoka wamejaa hata ukiwatolea taarifa wakubwa wao wanaona sawa tu huenda wanagawana, hakuna kitengo chenye kero kama cha dharura ukipiga cm wanaweza wasipokee na wakipokea wanakujibu gari ya mafundi haipo ukikumbushia utaambiwa hauko pekee yako mwenye dharura mpaka waje ni baada ya siku 3 hapo umehangaika vya kutosha. .hivyo kuitwa ni dharura hakuna maana TANESCO ni shirika halifai kabisa nchi hii
 
Upuuzi mwingine TANESCO watumishi wake hawanunui umeme wanapewa umeme bure huu ni ufisadi magufuli anatakiwa alishuhulikie mapema ni hela nyingi inatumika ya wananchi kulipia umeme kwa watumishi wote wa TANESCO nchi nzima na mishahara yao ni minono
 
Hizi ni chuki binafsi.. hawaondolewi hivyo unavyotaka wewe. The man is clean
Tunataka Umeme wa uhakika...clean gizani unamuonaje? Bei ya Umeme iko pale pale na mafuriko na migesi tuliyonayo!!
 
Nani kakudanganya unazalishwa umeme wa ziada? Unajua jiji la Dar linachukua MW ngapi? Jumla ya vituo vinavyofua umeme kwa kutumia gesi ni (5). Ubungo1 (102MW), Ubungo 11(105 MW), Songas (189 MW), Tegeta (45MW), Sumbion (T) Ltd (112MW).
TANESCO inatekeleza miradi mingine 7 ya kufua umeme kwa kutumia Nishati ya gesi asilia ktk Mikoa ya Dar, Mtwara na Lindi.

Kiasi cha umeme unaofuliwa sasa kwa kutumia gesi asilia unafika MW 546na miradi ikikamiilika itazalishwa jumla ya MW 2,475

Ha ha ha ha ha unatwanga maji kwenye kinu Hawawezi kukuelewa hata kidogo sana sana watakuona na wewe ni mbaya wao
 
Upuuzi mwingine TANESCO watumishi wake hawanunui umeme wanapewa umeme bure huu ni ufisadi magufuli anatakiwa alishuhulikie mapema ni hela nyingi inatumika ya wananchi kulipia umeme kwa watumishi wote wa TANESCO nchi nzima na mishahara yao ni minono

Watumishi wa TANESCO wananunua umeme, acheni chuki na wivu usio na faida.

Pia mishahara ya watumishi wa TANESCO ni ya kwawaida sana ni mishahara Kama ya watumishi Serikalini
 
Ndugu umenena TANESCO ingepata mshindani ingebadilika kwanza humohumo ndani ndio vishoka wamejaa hata ukiwatolea taarifa wakubwa wao wanaona sawa tu huenda wanagawana, hakuna kitengo chenye kero kama cha dharura ukipiga cm wanaweza wasipokee na wakipokea wanakujibu gari ya mafundi haipo ukikumbushia utaambiwa hauko pekee yako mwenye dharura mpaka waje ni baada ya siku 3 hapo umehangaika vya kutosha. .hivyo kuitwa ni dharura hakuna maana TANESCO ni shirika halifai kabisa nchi hii

Mkuu TANESCO inapiga vita vishoka na hushugulikiwa, tatizo ni wateja wenyewe tunaendekeza vishoka, tunashindwa kufuata utaratibu wa kuunganisha umeme hiyo yote ni kupenda shortcut.

Kitengo cha dharura wamekifanyia marekebisho sana tofauti na ilivyokuwa siku za nyuma. Pia hata ukiwaripoti kwa wakubwa wao huchukuliwa hatua.

Hayo matatizo ulipata ofisi ipi ya TANESCO, na ukitoa taarifa inabidi upewe TB no kwa ajili ya kufuatilia.
 
Historia nzima ya TANESCO ni mbovu, kwakuwa Rais anahitaji mabadiliko anaweza kuweka mwingine, waadilifu wapo wengu tuu!. Mkumbuke hata watumishi wa umma wataanza kufanya kazi kwa mikataba mifupimifupi, vivyohivyo na ukurugenzi.
ATOKE tuu kwani kwake pale?
 
Historia nzima ya TANESCO ni mbovu, kwakuwa Rais anahitaji mabadiliko anaweza kuweka mwingine, waadilifu wapo wengu tuu!. Mkumbuke hata watumishi wa umma wataanza kufanya kazi kwa mikataba mifupimifupi, vivyohivyo na ukurugenzi.
ATOKE tuu kwani kwake pale?

Atoke kwa kipi? TANESCO inaharibiwa na wanasiasa, inabidi wanasiasa waiache TANESCO ifanye kazi kitaalamu bila kuingiliwa.

Mramba is the performer na kunamaboresho mengi tu anayoyasimamia.

Tuache majungu, wivu tumwache afanye kazi.
 
KIWIRA COLL MINE imeuwawa ,hatukupata shida ya UMEME Kyela ,Rungwe
hata utokee mgawo mwaka ila sasa ni kiza
kama lami
 
Back
Top Bottom