Wenye chuki na wivu mpo weng, huu ni umbea haishangazi.Oh! Hivi Dk.Magufuli alipataje habari kuhusu hujuma za wahandisi kufungulia maji ya Bwawa la Mtera ili kina cha maji kibaki chini walazimike kuzima mitambo ya kuzalisha umeme Mtera,walifanya hivyo wakiwa na lengo la kunufaisha IPTL na wafanya biashara wanao import mafuta ya kuendeshea mitambo ya IPTL,hii kashifa sio ndogo - unless kama Mramba alitoa taarifa hizo kwenye vyombo vya dola lakini kama alishindwa kubaini hujuma zilizo kuwa zinafanywa na Wahandisi wenzake huko Mtera Dam, basi hapo tukubali kwamba kuna tatizo kubwa kwenye masuala ya uwajibikaji si bure.
Docta hafanyii kazi umbea bali taarifa kamili