Nina vigezo vyote

:yo::yo::yo:
Hekima zako nimezimisi sana.
 
hapa uhakika kama unashida hutasita kunitafuta ebu jaribu ni PM sure nitakupa mawasiliano yangu na utakuja kujutia tena maisha ya upweke promise, km unafuatilia i used kutoa thread ya kutafuta mwanamke mpaka sasa sikupata but uwe unajiweza kifikira!
Wana jamvi msinichoke,Mimi ni mwanamke mzuri,mwenye sifa zote nzuri za mwanamke
Lakini cha kushangaza sipati mchumba ni miaka mitano sasa Nipo single,Hali hii nimechoka
Nisaidieni jamani,
 
Anavigezo ajaviona ndo maana anachelewa!!Keep waiting.......!
 
Jenu naona kama una haraka sana maana naona ni mara kama ya tatu una post kitu chenye maudhui yale yale! Hebu vuta subira me naona ujachelewa kama unavyo dhani na bila shaka wakati wako haujafika, hauko peke yako wenye umri kama wako wengi na wanasubiri na watapata! Bila shaka utapata hitaji la moyo wako!
 
Last edited by a moderator:
Wana jamvi msinichoke,Mimi ni mwanamke mzuri,mwenye sifa zote nzuri za mwanamke
Lakini cha kushangaza sipati mchumba ni miaka mitano sasa Nipo single,Hali hii nimechoka
Nisaidieni jamani,

K mnato ? Unavaa shanga? Unatumia mtandao upi? 0754 au 0714? Hizi ndo sifa kuu hapa mjini sasa hizo zako sijui zinajumuisha na hizi
 
Mwl gfsonwin pengine huyu dada angeshauriwa aende kanisani kwanza au ajisogeze kwenye maombi pengine kuna roho zina muandama!

Lakini pia lazima ajiangalie kweli yeye si tatizo maana tunaweza kuanza kusingizia shetani!

Je mahusiano yake na watu yakoje?
Kazini?
Nyumbani?
Mtaani?
Pia anatakiwa ajue si peke yake mwenye umri kama wake ajaolewa, wapo wengi! Pengine awe nasubira lakini ninge mshauri ajiangalie kwanza yeye pamoja na mambo uliyo yaongelea!

 
Last edited by a moderator:

you are right ma dearest! aende kwenye maombi.
 
binadamu hatujakamilika kuna sehemu kunatatizo ndio maana hawakupendi jichunguze upya
 
Una vigezo vyote kasoro kimoja. You are desperate
na hapo ndo kwenye tatizo. Kwani unataka mchumba ili iweje?
 
Taratibu tu utapata.
Mbaya kuharakisha mambo ya mapenzi.
 
inaonyesha upo selective sana............ukiendelea hivyo
utasubiri miaka mitano mingine mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…