Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,324
- 52,034
Hahaha,Asisahau na siku ya kwanza linakuwa bikra.
Hahaha,Asisahau na siku ya kwanza linakuwa bikra.
Pole mkuu.Wadau kwema,
Awali ya yote niseme tu kwamba mimi ni moja kati ya watu ma konkodi yaani hardcore kiasi cha kuhimili hali tofauti na yenye mazingira magumu bila kutetereka ila nimeshindwa.
Nina kazi yangu nzuri tu mkwanja wa maana so maisha yanaendelea freshi tatizo nipo peke yangu.
Yaani kidume inafika wakati mpaka natamani kulia, kama leo toka nimerudi kazini ndo shida kabisa.
Upweke utaniua kidume!
Wooow, happy to be the only one........Kati ya wote wewe ndo umepatia hali yangu kwa asilimia 100.
I look forward to fixing this situation sema kuna muda lazima nisubiri. Napiga gym kama kawa tatizo lingine nipo unyamwezini maisha ya kijamii ni sehemu kubwa ya changamoto Kwa maana ya kuwapata washkaji wa kweli kupoteza nao muda so muda mwingi ni kazini, Home na gym tu!
Dunian bdo kuna watu wema?Sali Mola akuondolee upweke na kukupatia furaha kutoka kwa mtu mwema.
Wooow, happy to be the only one........
Yeah you need time and the timing too.... If you time at a wrong time.... you'll miss it.
Am happy that I have touch the hardcore... yeeeeyy. I wish you all the best in getting her back.... it's so lovely when two souls who deeply love each other and match in many ways live together. .....
I wish to have my soul mate by my side pinching each other laughing and talking..... I understand your situation.
Blessings to you.
kweli nakwambia boss..!!ila kama umeweka ulimbo wa kuwanasia hapa!!ok,sorry man!!That’s total ignorance
?la hasha!!! Japo unapesa mingi,.kubali tuu kwamba sio lazima sasa(kwa wakati huu)izalishe pesa yako zaidi na zaidi,Fanya kazi kwa bidii,toa sadaka(hasa fungu la 10),sali na ufanye ibada ya kumpendeza Mungu,tembelea wagonjwa,yatima,wajane na wenye shida mbalimbali n.k kupunguza upweke,.mpenzi,mchumba,mke atakuja na UPWEKE utausikia tuu redioni.It’s a tough situation narudi home kila siku ngoma ile ile! Dah
Nakuja kukutoa upweke ulionao...usijaloWadau kwema,
Awali ya yote niseme tu kwamba mimi ni moja kati ya watu ma konkodi yaani hardcore kiasi cha kuhimili hali tofauti na yenye mazingira magumu bila kutetereka ila nimeshindwa.
Nina kazi yangu nzuri tu mkwanja wa maana so maisha yanaendelea freshi tatizo nipo peke yangu.
Yaani kidume inafika wakati mpaka natamani kulia, kama leo toka nimerudi kazini ndo shida kabisa.
Upweke utaniua kidume!
Labda nguvu za kiume ni shidaSi mnasema ukishakua na hela unawapata wasichana kirahis...inakuaje we huna au unakasoro gan?
Tushapatikana mbona?kweli nakwambia boss..!!ila kama umeweka ulimbo wa kuwanasia hapa!!ok,sorry man!!