mbongowakweli
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 848
- 685
Jiandaeni akitapeli watu, sikieni, someni na mtafakari..
Kwa nini uwe peke yako buana? Wapo vidume kibao wa kukuliwaza we unaishi peke yako?Kama sijakosea wewe ni mbahili sana, pesa yako ni yako, nani kasema??:toka out lazima tukutane na watumiaji wa pesa yako.
Mbona watu wengi tunaishi peke yetu na maisha yanasonga? Mm nikifika home jioni naingia jf au naweka wimbo ninaoupenda na mm naanza kuimba, nikiwa bored, naweka movie ya kikorea fasta kushutuka ni SAA 5 usiku
Kuna jamaa juzi nilikua naongea nae nikamuuliza why some Man wana Cheat ila wengi hawa cheat? akasema apana wana cheat ila ukimuona mwanamme ha Cheat hua ana 1 kati ya haya mawili,1 hana hela ,2 atakua hana nguvu za kiume sasa sijui mpaka hapa lipi ni kweli, mkuu kwa upande wapo unakubaliana na 1 kati ya hayo au ni maneno tuu? nimeuliza kwa roho safi tuu usinune plz.Wadau kwema,
Awali ya yote niseme tu kwamba mimi ni moja kati ya watu ma konkodi yaani hardcore kiasi cha kuhimili hali tofauti na yenye mazingira magumu bila kutetereka Ila kwenye nimeshindwa.
Nina kazi yangu nzuri tu mkwanja wa maana so maisha yanaendelea freshi tatizo nipo peke yangu.
Yaani kidume inafika wakati mpaka natamani kulia, kama leo toka nimerudi kazini ndo shida kabisa.
Upweke utaniua kidume!
Haswaaa naishi mwenyewe, ahaaa stress za vidume tegemezi aziwe nani?Kwa nini uwe peke yako buana? Wapo vidume kibao wa kukuliwaza we unaishi peke yako?
Nichek inbox nikuconnect na binti flan ivi..Wadau kwema,
Awali ya yote niseme tu kwamba mimi ni moja kati ya watu ma konkodi yaani hardcore kiasi cha kuhimili hali tofauti na yenye mazingira magumu bila kutetereka Ila kwenye nimeshindwa.
Nina kazi yangu nzuri tu mkwanja wa maana so maisha yanaendelea freshi tatizo nipo peke yangu.
Yaani kidume inafika wakati mpaka natamani kulia, kama leo toka nimerudi kazini ndo shida kabisa.
Upweke utaniua kidume!
Hayo maisha unayoishi PEKE YAKO hujayazoea unajilazimisha tu, tafuta mtu uishi nae kabla hujajidhuru.Wadau kwema,
Awali ya yote niseme tu kwamba mimi ni moja kati ya watu ma konkodi yaani hardcore kiasi cha kuhimili hali tofauti na yenye mazingira magumu bila kutetereka Ila kwenye nimeshindwa.
Nina kazi yangu nzuri tu mkwanja wa maana so maisha yanaendelea freshi tatizo nipo peke yangu.
Yaani kidume inafika wakati mpaka natamani kulia, kama leo toka nimerudi kazini ndo shida kabisa.
Upweke utaniua kidume!
PIGA PUCHU MZEE BABA MAISHA YATAENDA TU UPWEKE HUU UPO TUWadau kwema,
Awali ya yote niseme tu kwamba mimi ni moja kati ya watu ma konkodi yaani hardcore kiasi cha kuhimili hali tofauti na yenye mazingira magumu bila kutetereka Ila kwenye nimeshindwa.
Nina kazi yangu nzuri tu mkwanja wa maana so maisha yanaendelea freshi tatizo nipo peke yangu.
Yaani kidume inafika wakati mpaka natamani kulia, kama leo toka nimerudi kazini ndo shida kabisa.
Upweke utaniua kidume!
Pole sana, maisha I msongamano.
Nnachokiona kwako uko mpweke kwasababu aidha mmeachana na mpenzi wako, au una mpenzi wako lakini huwezi kuwasiliana nae na anaishi maili nyingi mbali nawe na unampenda sana.
Fanya hivi kama mmeachana na mpenzi wako jaribu kuona kama mnaweza rudiana kama haiwezekani basi ratiba ya kwenda gym iwe kila siku badala ya mara 1 kwa wiki. Najua gym inaboa hasa ukiwa down. Usiende out kula maana uko mwenyewe pika nyumbani ule au nunua ukale nyumbani. Usifue nyumbani nenda kafue nguo kwenye kiosk cha kulipia hapo Utakutana na watu walau mnaweza ongea mawili matatu.
Anza kufanya jogging jioni Utakutana na wengine hapa waweza pata rafiki. Siku shauri kwenye pombe japo usiache kunywa kabisa.
Kama mpenz wako yuko mbali nawe na mmesitisha mawasiliano kwa namna yoyote ile..... usikubali FIGHT FOR THE ONE YOU LOVE.... GO FOR HER..... MAKE HER YOURS only if you assure she loves you back more.
You'll be happy ever after in your life.
Asisahau na siku ya kwanza linakuwa bikra.Uchaguzi wako tu. Sema ni vyema uwe unalivisha vinguo tofautitofauti ili likuvutie,,,,, bikini dazan 1 na vyupi vya kawaida dazan 1 sio mbaya![]()
Wewe si hardcore unayeweza kuishi na hali yoyote.Wadau kwema,
Awali ya yote niseme tu kwamba mimi ni moja kati ya watu ma konkodi yaani hardcore kiasi cha kuhimili hali tofauti na yenye mazingira magumu bila kutetereka ila nimeshindwa.
Nina kazi yangu nzuri tu mkwanja wa maana so maisha yanaendelea freshi tatizo nipo peke yangu.
Yaani kidume inafika wakati mpaka natamani kulia, kama leo toka nimerudi kazini ndo shida kabisa.
Upweke utaniua kidume!
Si uwowe!!!!!!!!Wadau kwema,
Awali ya yote niseme tu kwamba mimi ni moja kati ya watu ma konkodi yaani hardcore kiasi cha kuhimili hali tofauti na yenye mazingira magumu bila kutetereka ila nimeshindwa.
Nina kazi yangu nzuri tu mkwanja wa maana so maisha yanaendelea freshi tatizo nipo peke yangu.
Yaani kidume inafika wakati mpaka natamani kulia, kama leo toka nimerudi kazini ndo shida kabisa.
Upweke utaniua kidume!