elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,461
Nakubali mwili una mahitaji yake lakini akili pia ina mahitaji yake.
Mahitaji ya mwili most of the time huizidia akili na akili nayo kukubali kutawaliwa na mwili, hii ni kwa wengi wetu kama siyo wote.
Natambua nguvu ya uhitaji wa ngono kwa watu wote-wanawake na wanaume ijapokua wanawake huplay sana game ya passivity na kuact as if Ngono kwao siyo a big deal. Katika kuhusiana kwangu na wanawake nimethibitisha pasi shaka kuwa wanawake wanapenda Ngono kuliko wanaume.
Lakini wanaume uhitaji wetu kingono umetuingiza kwenye mahangaiko makubwa ya maisha na umetunyima fursa nyingi kwa kujikuta tumeanzisha hata familia bila kuwa tayari au namtu ambaye baadae unagundua siyo type yako.
Unakuta mwanamme anaahirisha fursa nyingi ambazo zingemuendeleza yeye binafsi au inamuwia vigumu hata kuondoka sehemu moja kwenda sehemu nyigine ya Dunia kwa sababu hayupo peke yake... tayari anajikuta anawatu wanamtegemea.
Naamini Mobility kwenye hustle za maisha inategemea na kiasi gani upo Huru, Upo mwenyewe kiasi kwamba ukiwa Mwanza au Mbeya au South Africa au Misri au Ulaya ama Marekani au Asia huna chako cha kuhofia kupoteza huko nyuma ulikokuacha ama hakuna Mtu wa kukuliza upo wapi ama unarudi lini. Hii ni Ngumu kwa mtu aliye fungwa na Pingu za maisha.
Neno lenyewe Pingu linaeleza wazi haupo huru. Sigmund Freud aliwahi kusema “ All Energy is sexual” Katika muktadha huu ninaouzungumzia naweza kumwelewa Freud na kutafsiri hivi “Mahangaiko yote ya Watu ni ili watimize mahitaji yao ya ngono au matokeo ya Ngono zao”
Basi kwa kufanya hivyo nitakuwa na uwezo wa kufanya mambo yangu kwa Uhuru zaidi, kuepuka Kero, Kuepuka Usumbufu wa Kuhangaika kwa ajili ya mtu badala ya kuijali zaidi Nafsi yangu ,Kuepuka Kumilikiwa na mtu as if umekuwa Mali yake, Kwa sababu Mtu siyo mali ya Mtu.
Utakuta mtu anakuita” My” ama “Wangu” bila kuelewa uzito wa hayo maneno ya Umiliki. Mtu ni raia wa ulimwengu unaweza ishi popote na kati ya watu bilion 7 mtu hajazaliwa ili ajiattach na mtu na kusema huyo mtu aliumbwa kwa ajili yake.
At 50 nitaassess tena uhitaji WANGU wa kuongeza miaka 20 mingine.
Mahitaji ya mwili most of the time huizidia akili na akili nayo kukubali kutawaliwa na mwili, hii ni kwa wengi wetu kama siyo wote.
Natambua nguvu ya uhitaji wa ngono kwa watu wote-wanawake na wanaume ijapokua wanawake huplay sana game ya passivity na kuact as if Ngono kwao siyo a big deal. Katika kuhusiana kwangu na wanawake nimethibitisha pasi shaka kuwa wanawake wanapenda Ngono kuliko wanaume.
Lakini wanaume uhitaji wetu kingono umetuingiza kwenye mahangaiko makubwa ya maisha na umetunyima fursa nyingi kwa kujikuta tumeanzisha hata familia bila kuwa tayari au namtu ambaye baadae unagundua siyo type yako.
Unakuta mwanamme anaahirisha fursa nyingi ambazo zingemuendeleza yeye binafsi au inamuwia vigumu hata kuondoka sehemu moja kwenda sehemu nyigine ya Dunia kwa sababu hayupo peke yake... tayari anajikuta anawatu wanamtegemea.
Naamini Mobility kwenye hustle za maisha inategemea na kiasi gani upo Huru, Upo mwenyewe kiasi kwamba ukiwa Mwanza au Mbeya au South Africa au Misri au Ulaya ama Marekani au Asia huna chako cha kuhofia kupoteza huko nyuma ulikokuacha ama hakuna Mtu wa kukuliza upo wapi ama unarudi lini. Hii ni Ngumu kwa mtu aliye fungwa na Pingu za maisha.
Neno lenyewe Pingu linaeleza wazi haupo huru. Sigmund Freud aliwahi kusema “ All Energy is sexual” Katika muktadha huu ninaouzungumzia naweza kumwelewa Freud na kutafsiri hivi “Mahangaiko yote ya Watu ni ili watimize mahitaji yao ya ngono au matokeo ya Ngono zao”
Basi kwa kufanya hivyo nitakuwa na uwezo wa kufanya mambo yangu kwa Uhuru zaidi, kuepuka Kero, Kuepuka Usumbufu wa Kuhangaika kwa ajili ya mtu badala ya kuijali zaidi Nafsi yangu ,Kuepuka Kumilikiwa na mtu as if umekuwa Mali yake, Kwa sababu Mtu siyo mali ya Mtu.
Utakuta mtu anakuita” My” ama “Wangu” bila kuelewa uzito wa hayo maneno ya Umiliki. Mtu ni raia wa ulimwengu unaweza ishi popote na kati ya watu bilion 7 mtu hajazaliwa ili ajiattach na mtu na kusema huyo mtu aliumbwa kwa ajili yake.
At 50 nitaassess tena uhitaji WANGU wa kuongeza miaka 20 mingine.