Nina Tshs Million 7 ninahitaji kigari aina ya Carry

Nina Tshs Million 7 ninahitaji kigari aina ya Carry

Amri kuu ni Upendo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
789
Reaction score
495
Mwenye kujua wapi hapa Dar kuna Yard ya Magari ya mitumba ambapo naweza nikapata Carry iwe aina ya Suzuki , Toyota au yoyote ile kwa shillings Million 7.

Naomba tuwasiliane kwa 0754485463 au 0656353925.
 
Mwenye kujua wapi hapa Dar kuna Yard ya Magari ya mitumba ambapo naweza nikapata Carry iwe aina ya Suzuki ,Toyota au yoyote ili kwa shillings Million 7 naomba tuwasiliane kwa 0754485463 au 0656353925.

Si ndio bei hiyo showrooms?
 
Kuna mtu alinunua pale Mtoni Kwa Aziz Ally, showroom ipo kama opposite na uwanja wa sabasaba.
 
Back
Top Bottom