1) Ninunue kiwanja cha bei nafuu Ml-3 then niendelee kupambana na harakati zingine au nirudi nilipokuwepo kwa ajili ya kujenga chumba kimoja kimoja kwenye kiwanja changu nitakachonunua
acha mbwembw za kizungu ndo usharud bongo, vifaa vichache si unavyo tayari? Hapo ni mashine la copy printer, hela ya kulipia frem vingine utanunua hela ikibaki. Hiyo laptop utachapa kazi hiyo camera utapiga passport wanafunzi na hata kupiga watu full picha na ukaziedt.Shukrani.. sina uhakika na huu mtaji niliokuwa nao kama unatosha ila naendelea kulifanyia research; nijue kama ntaendana nalo na huu mtaji.. ASANTE MKUU
Kwa pesa aliyonayo haitoshi, biashara ya chips siku hizi kilio ni mafuta, kwavile ana baadhi ya vifaaa ni bora afanye biashara inayoendana na vifaa alivyonavyo.Fungua biashara ya chips utafte location nzuri then inayobaki kanunue kakiwanja huko
acha mbwembw za kizungu ndo usharud bongo, vifaa vichache si unavyo tyr? apo ni mashine la copy printer, ela ya kulipia frem vingne utanunua ela ikibaki. hyo laptop utachapa kazi hiyo camera utapiga passport wanafunzi na ata kupiga watu full picha na ukaziedt.
Duhkwa pesa aliyo nayo haitoshi , biashara ya chips skuiz kilio ni mafuta, kwavile ana baadhi ya vifaaa ni bora afanye biashara inayoendana na vifaa alivyonavyo.
Anza biashara isiyo hitaji makorokoro mengi sijui printer sijui chuoni, wakati vyuo vingi huwa vinawa printia wanafunzi wao kwa bei nafuushukrani MKUU.. ubarikiwe
kwa pesa aliyo nayo haitoshi , biashara ya chips skuiz kilio ni mafuta, kwavile ana baadhi ya vifaaa ni bora afanye biashara inayoendana na vifaa alivyonavyo.
Chukua laki tano tafuta eneo lililochangamka weka genge la bidhaa za nyumban kila sku wamama tunapika,weka mazaga zaga pemben kaanga chips,kuku,samak ili wakija nunua nyanya chps ziwavute,samak ziwavute,,,kiasi kilichobakia kitunze ,, biashara sio lazima ziwe kubwa kubwa
1. mashine ya copyNgoja nijaribu kuifatilia hii mashine ya COPY PRINTER kwanza dukani imesimamaje.. used inaweza ikanikaraisha alaf niangazie nini? Naweza kufanya nikituliza kichwa MKUU
1. mashine ya copy
2. printer
3. laptop au compyuter
4. camera
5. mazuria / mapazia mbalimbali haya ni kuweka ukutani ili kumpiga picha full au passport fika china plaza unapata utakayo
6. sofa moja
7. viti vya wateja
8. ndani ya frem moja utagawanya kwakuweka china door then akiba itayobaki utanunua madaftar peni rim pensel n.k