Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,491
- 57,966
Chukua like trilion 1 Mkuu. Umemaliza yote. Na hivi ndo alivosema J F kennedy kuwa usiseme Marekani imekufanyia nini bali jiulize nitaifanyia nini Marekani.mimi ni mtu ninawachunguza sana hawa jamaa....
kuhusu Profesa Muhongo....moyo wangu unamtazama hivi kutokana na mambo mbalimbali
1. ni mtu ambaye hufanya kazi na takwimu......na sio porojo. so far sijaona mgombea yeyote ambaye utendaji wake na mikakati yake inazingatia takwimu kama huyu jamaa.....watanzania kwa muda mrefu tumechekwa kuwa tumekuwa interested na matokeo kama vile hospitali na barabara lakini hatujali ni kiasi gani tunaporwa....hii ndio imepelekea wao kuchukua dhahabu sie kutujengea kadispensary....
2. ni mtu ambaye hakubali kuyumbishwa hata na kundi lake ... alichokifanya kuichanachana tanesco mara baada ya kuwa waziri na kuirekebisha ni ushahidi mzuri wa hili......
3. ni mtu anayemg'ang'ania swala wake vema.....tunaweza kupima kwa kuangalia deliverables alizozitengeneza akiwa wizarani....ina maana ana uwezo wa kunganagania mafanikio ya ahadi zake...
4. ni mtu mwenye exposure ya kutosha has kwa concern ya nchi ya wakati huu..gasi na mafuta.....
5. ni kiongozi mzuri....wakati tunapima ubora wa wagombea wetu ni vema tuangalia sifa zao kwa wale wa karibu (anaowaongoza) na wale wanaopokea matokeo au wanufaika (beneficiary),,,,,,,,I swear, katikaa wagombea wote nliosikia sikia umbeya kuhusu wao so far Muhungo amependwa na watumishi woooote waliokuwa chini yake wizarani.....lakini pia amependwa na wananchi aliowatumikia kwa kuweza kuwapatia deliverables wanazozihitaji....................
6. najua wapo wataozungumzia arrogance....shida kidogo ni usmart wa kisiasa...ambalo linaweza kurekebishika.......lakini pia ni ushahidi kuwa uwongo uwongo yeye hapana........
7. anatoka kabila dogo?????
8. naamini kabisa huyu ni Mkapa mwingine.........mtu ninayemkubali sana so far....
naomba kuwakilisha
Ndugu yangu huu mchango wako ni mkubwa sana na utawasaidia watu wengi sana humu kumuelewa Prof Muhongo na hata baadae kuleta influence ya yeye kuchaguliwa kuliongoza taifa. Napenda kusema kwa mchango huu hakika umelifanyia kitu taifa lako hasa kifikra.