Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Habari wakuu,
Kama mada inavyoeleza nina tatizo la vidonda mdomoni hasa kwenye ulimi. Umechubuka kiasi kwamba napata wakati mgumu kunywa chai yamoto au yenye tangawizi na pia vyakula kama dagaa naanza kuviogopa.
Nilijaribu kutumia machungwa na malimao ila vilivyopona ni vya pembezoni ndani ya kinywa ila vya ulimi vimegoma. Nikaenda pharmacy kununua Nystatin, japo ilinisaidia ila ilivyoisha naona kama tatizo linaanza kurudi.
Nisaidieni njia ya kumaliza tatizo kabisa. Siumwi Pangusa wala gonjwa lolote la ngono na #Uvinza sijui hata kuna ladha gani.
Nawasilisha.
Kama mada inavyoeleza nina tatizo la vidonda mdomoni hasa kwenye ulimi. Umechubuka kiasi kwamba napata wakati mgumu kunywa chai yamoto au yenye tangawizi na pia vyakula kama dagaa naanza kuviogopa.
Nilijaribu kutumia machungwa na malimao ila vilivyopona ni vya pembezoni ndani ya kinywa ila vya ulimi vimegoma. Nikaenda pharmacy kununua Nystatin, japo ilinisaidia ila ilivyoisha naona kama tatizo linaanza kurudi.
Nisaidieni njia ya kumaliza tatizo kabisa. Siumwi Pangusa wala gonjwa lolote la ngono na #Uvinza sijui hata kuna ladha gani.
Nawasilisha.