Tangu mwaka juzi mwezi wa 7 nilipatwa na tatizo la kuuma mgongo! Lakini niliwahi kupima vidonda vya tumbo wakanambia positive means nina vidonda vya tumbo.
Naombeni ushauri nifanye X ray au nifanye nini saizi nawaomba watoto tu wanikande na maji ya moto lakini bado naumwa maumivu napata hasa nikilala maumivu ni kama moto unawaka au umepaka pili pili!!
Naombeni ushauri nifanye X ray au nifanye nini saizi nawaomba watoto tu wanikande na maji ya moto lakini bado naumwa maumivu napata hasa nikilala maumivu ni kama moto unawaka au umepaka pili pili!!