Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 814
- 1,057
Tatizo limenianza ghafla mwaka juzi na hali imekua ikiendelea kuwa mbaya kila siku zinavyozidi kwenda...(Nilishajaribu specialist ENT na kufanya matibabu pale Temeke,Ekenywa, AAR lakini sikupata afadhali)
Nilihitimu advance level mwaka jana (Art combination) na sikuanza chuo ila mwaka huu nahitaji kuanza ila bado nina ukakasi wa kuchagua kozi.....(Binafsi yangu nilipenda Sheria ila hali yangu ya kuwa na usikivu hafifu na profession nitakayokua imenifanya nibadili mawazo)
Naombeni ushauri wakuu kwenye hili....ila ukizingatia hali niliyo nayo na profession nitakayokua baada ya kumaliza hiyo kozi
Nilihitimu advance level mwaka jana (Art combination) na sikuanza chuo ila mwaka huu nahitaji kuanza ila bado nina ukakasi wa kuchagua kozi.....(Binafsi yangu nilipenda Sheria ila hali yangu ya kuwa na usikivu hafifu na profession nitakayokua imenifanya nibadili mawazo)
Naombeni ushauri wakuu kwenye hili....ila ukizingatia hali niliyo nayo na profession nitakayokua baada ya kumaliza hiyo kozi