Mark ngengele
Member
- Dec 27, 2019
- 17
- 0
Habari ya Leo wana jf?
Ninakuwa na tatizo la kwenda chooni Mara kwa Mara nikaamua kwenda hospitali wakanipima stool wakakuta nikona malabsorption inayosababishwa na microorganisms.
Walinipa dawa ya secnizole na zengine za minyoo but naona kama hazinisaidii kama kuna dawa nyengine naomba kushauriwa sababu nikirudi wananipa hiyo hiyo moja.
Ninakuwa na tatizo la kwenda chooni Mara kwa Mara nikaamua kwenda hospitali wakanipima stool wakakuta nikona malabsorption inayosababishwa na microorganisms.
Walinipa dawa ya secnizole na zengine za minyoo but naona kama hazinisaidii kama kuna dawa nyengine naomba kushauriwa sababu nikirudi wananipa hiyo hiyo moja.