Ulipoanza kupata hilo tatizo ulikuwa unaumwa kitu kingine?
Lazima kutakuwa na chanzo.
Je inakupata ukiwa katika hali gani. ...wakati unamsongo wa mawazo au wakati unaumwa au hata ukiwa mzima wa afya?
Ningekushauri umwone mtaalam, upatiwe vipimo na kupewa matibabu kama sio yakuponyesha basi hata yakukuwezesha kuhimili hiyo hali. ..isije kukuletea matatizo zaidi huko mbeleni