Ubwa Juma Mpenja
New Member
- Feb 24, 2019
- 1
- 2
Nina tatizo zaidi ya mwaka sasa huwa nadondoka na kukakamaa na povu likinitoka kama ninavyoelezewa na ndugu zangu.
Kama kuna anayejua dawa ya haya maradhi naomba anisaidie
Kama kuna anayejua dawa ya haya maradhi naomba anisaidie