Kahindi95
Member
- Mar 7, 2019
- 31
- 95
Uume mwembamba, ukisimama ni nchi nne na nusu hadi tano urefu. Nakosa confidence ya kuwa na mahusiano na wasichana kabisa.
Naishia kununua malaya wanaojiuza ili walau kupoza kidogo! Nimechoka, najuta kuzaliwa na kibamia, heri nisingezaliwa tu. Siuoni umuhimu wa kuendelea kuishi na hii depression!
Naishia kununua malaya wanaojiuza ili walau kupoza kidogo! Nimechoka, najuta kuzaliwa na kibamia, heri nisingezaliwa tu. Siuoni umuhimu wa kuendelea kuishi na hii depression!
Nakataa kuhusu uume mdogo a.k.a kibamia
Hii mitandao inaharibu Sana watu. Hasa sisi wanaume. Leo wakati fulani napitia blogs na YouTubers jamaa mmoja anaelezea kwanini uume mdogo na namna ya kufanya uwe kama muhogo. Nikichoelewa ni kwamba wanatuharibu Sana kisaikolojia. Sio kweli kwamba inch 4 ni kibamia. Nakataa Kwa sababu na Mimi...
www.jamiiforums.com