Chris makini
Member
- Jun 1, 2023
- 13
- 3
Habari,
Wadau Mimi nina mdogo wangu aliteguka begi wakati anadaka mpira na kupelekea bega kushuka na kushindwa kubeba vitu swali langu amefanya vipimo cha MRI ya UTI wa mgongo kilingana na utaalamu wa daktari akijua maumivu yake yameanzia kwenye mgongo kusambaa kwenye mabega kwa madaktara wanafaham ilo lakini majibu ya MRI yakaja normal je?wadau ni kilimo gani nitaonesha tatizo la kuteguka kwa misuli?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wadau Mimi nina mdogo wangu aliteguka begi wakati anadaka mpira na kupelekea bega kushuka na kushindwa kubeba vitu swali langu amefanya vipimo cha MRI ya UTI wa mgongo kilingana na utaalamu wa daktari akijua maumivu yake yameanzia kwenye mgongo kusambaa kwenye mabega kwa madaktara wanafaham ilo lakini majibu ya MRI yakaja normal je?wadau ni kilimo gani nitaonesha tatizo la kuteguka kwa misuli?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app