Srinivan Ramanujan
Senior Member
- Nov 1, 2019
- 159
- 201
Tatizo langu kubwa ni uoga uliopitiliza wa kuona majeruhi au kusikiliza visa vilivyopelekea watu kupata majeraha.
Hali hii imekuwa ikinitesa sana, maana punde tu nisikiapo au nionapo majeruhi moyo wangu unapatwa na baridi kali sana, hofu kupitiliza na nakuwa natetemeka mwili.
Nimegundua hali hii sio ya kawaida baada ya kufanya kautafiti kidogo nimegundua katika sekta hii nazidiwa ujasiri mpaka na wanawake.
Mfano hata nikiwa kwenye daladala halafu nje ikatokea ajali na kuna majeruhi basi mimi nitafunga macho au kuangalia pembeni.
Naombeni msaada jamani maana hali hii inanitesa sana nashindwa kuwa hudumia watu wangu wa karibu wapatapo matatizo.
Hali hii imekuwa ikinitesa sana, maana punde tu nisikiapo au nionapo majeruhi moyo wangu unapatwa na baridi kali sana, hofu kupitiliza na nakuwa natetemeka mwili.
Nimegundua hali hii sio ya kawaida baada ya kufanya kautafiti kidogo nimegundua katika sekta hii nazidiwa ujasiri mpaka na wanawake.
Mfano hata nikiwa kwenye daladala halafu nje ikatokea ajali na kuna majeruhi basi mimi nitafunga macho au kuangalia pembeni.
Naombeni msaada jamani maana hali hii inanitesa sana nashindwa kuwa hudumia watu wangu wa karibu wapatapo matatizo.