uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 11,644
- 27,617
- Thread starter
- #41
Nimeshaanza za hospital je naweza kupumzika kisha baadae nikafanya za kimasai?na je unaweza kuzijua nzuri maana baadhi ya wamasai nao siku hizi wasanii kidogoHospital watakupa dawa lakini ni za kutuliza tuu kwa muda baadae tatizo linarudi tena jaribu dawa za kimasai ni nzuri mno.
Ila kama ushaanza za hospital usichanganye tafadhali