severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,404
Naamini Mungu atajaalia utakuwa vema tuTena sana ila nadhani mengi yanatengenezwa na haya haya madawa tunayotumia maana mi sikujua kabisa haya maswala ya uric acid nimeenda dr kanipa dawa na baada ya kuutja ugonjwa nimejikuta sasa ni almost victim wa the so called uric acid anyway najua Mungu ataniponya nitakuwa mzima kabisa