Nina tatizo hili, nisaidien

aman abdalah

Member
Jun 6, 2014
53
4
Hallow JF DOCTORS nawasalimu wote..,
Ahsanten kwan najua mnaenda kunishauri ushauri mzuri au yawezekana nyie ndo mkawa mwisho au ufumbuzi wa tatizo nililo nalo.
Jaman mim ninataizo moja mwilini mwangu ambalo silielewi ni la aina gan nashindwa kujua nifanyaje ili niweze kupona kabisa na kuwa na aman maishan mwangu.Tatizo hili lipo ndani ya tumbo langu kiukweli silielew na nila mda mrefu xna.
JE,dalili zifuatazo ninaweza kuwa na ugonjwa gani....?
1.tumbo kujaaa gesi pindi nilapo chakula na kupumua hewa chafu mara kwa mara yaaan kama vile kuna mtungi wa gesi tumboni na gesi hiyo inapotoka angalau napata nafuuuu.
2.kuenda haja kubwa mara kwa mara na haja kuwa sio ya kawaida yaaan kuwa kilaini kupita kiasi.
3.kiuno,mgongo kuuma xna kupita kiasi kwani ninapoinama nihci kama kuna vitu vinavunjikavunjika kwenye kiuno changu.
4.kupata maumivu makali chini ya kitovu.
5.tumbo kuwa na hali ya umaji na wakati mwingine kusikia yakitembea tumboni.
6.mwili kufa ganzi haswa miguuni.
7.kuwa na hali ya ukavu tumboni.
NASHUKURUNI SNA JF DOCTORS kwani najua mtanipa njia ya mimi kupona,ahsanteni xna na MUNGU nawabariki,nisaidieni kwa uaminifu please,.
 
Hallow JF DOCTORS nawasalimu wote..,
Ahsanten kwan najua mnaenda kunishauri ushauri mzuri au yawezekana nyie ndo mkawa mwisho au ufumbuzi wa tatizo nililo nalo.
Jaman mim ninataizo moja mwilini mwangu ambalo silielewi ni la aina gan nashindwa kujua nifanyaje ili niweze kupona kabisa na kuwa na aman maishan mwangu.Tatizo hili lipo ndani ya tumbo langu kiukweli silielew na nila mda mrefu xna.
JE,dalili zifuatazo ninaweza kuwa na ugonjwa gani....?
1.tumbo kujaaa gesi pindi nilapo chakula na kupumua hewa chafu mara kwa mara yaaan kama vile kuna mtungi wa gesi tumboni na gesi hiyo inapotoka angalau napata nafuuuu.
2.kuenda haja kubwa mara kwa mara na haja kuwa sio ya kawaida yaaan kuwa kilaini kupita kiasi.
3.kiuno,mgongo kuuma xna kupita kiasi kwani ninapoinama nihci kama kuna vitu vinavunjikavunjika kwenye kiuno changu.
4.kupata maumivu makali chini ya kitovu.
5.tumbo kuwa na hali ya umaji na wakati mwingine kusikia yakitembea tumboni.
6.mwili kufa ganzi haswa miguuni.
7.kuwa na hali ya ukavu tumboni.
NASHUKURUNI SNA JF DOCTORS kwani najua mtanipa njia ya mimi kupona,ahsanteni xna na MUNGU nawabariki,nisaidieni kwa uaminifu please,.


hapo tu kwenye ma xna xna ndo umeharibu,siwezi kukutibu coz kitaaluma hayo siyaelewi
 
We nenda kapime kwanza muone daktari msikilize anakuwambia nini Je kuna tiba au laa!!..Uliotaja hapo juu ni zaidi ya ugonjwa moja..kwa ushauri wangu kamuone daktari kwanza then uje JF uulize kama kuna ishauri wa ziada na tiba..
 
Pole sana vp umewahi kwenda hospital? Kama bado inabidi uende vipimo ndio vitaonyesha kuwa unatatizo gan
 
kwa list ya hayo matatizo sitashangaa ukija na ID nyingine na kujinasibu kuwa una dawa ya magonjwa yote hayo.
 
Amin usiami hvyo nividonda vya tumbo tena haraka nenda hosptal watakupa barium then utapgwa x ray
pole ndugu yangu
 
Hallow JF DOCTORS nawasalimu wote..,
Ahsanten kwan najua mnaenda kunishauri ushauri mzuri au yawezekana nyie ndo mkawa mwisho au ufumbuzi wa tatizo nililo nalo.
Jaman mim ninataizo moja mwilini mwangu ambalo silielewi ni la aina gan nashindwa kujua nifanyaje ili niweze kupona kabisa na kuwa na aman maishan mwangu.Tatizo hili lipo ndani ya tumbo langu kiukweli silielew na nila mda mrefu xna.
JE,dalili zifuatazo ninaweza kuwa na ugonjwa gani....?
1.tumbo kujaaa gesi pindi nilapo chakula na kupumua hewa chafu mara kwa mara yaaan kama vile kuna mtungi wa gesi tumboni na gesi hiyo inapotoka angalau napata nafuuuu.
2.kuenda haja kubwa mara kwa mara na haja kuwa sio ya kawaida yaaan kuwa kilaini kupita kiasi.
3.kiuno,mgongo kuuma xna kupita kiasi kwani ninapoinama nihci kama kuna vitu vinavunjikavunjika kwenye kiuno changu.
4.kupata maumivu makali chini ya kitovu.
5.tumbo kuwa na hali ya umaji na wakati mwingine kusikia yakitembea tumboni.
6.mwili kufa ganzi haswa miguuni.
7.kuwa na hali ya ukavu tumboni.
NASHUKURUNI SNA JF DOCTORS kwani najua mtanipa njia ya mimi kupona,ahsanteni xna na MUNGU nawabariki,nisaidieni kwa uaminifu please,.

mgonjwa,
hili nibjukwaa tu LA kupiga mdomo wengine kweli wanaweza to a ushauri ea maana wengine ni upuuzi tu. umetaja dalili nyingi sana zingine sio ugonjwa nasema hivyo mwili hupinduka Mara kwa Mara wakati mwingine kutokana na chakula kuna kitu kinaitwa food poison hii inaweza kuleta dalili unazozisema wakati mwingine kuhara kabisa.
kina kitu kinaitwa allergy hii pia INA usumbufu a in a tofauti kujua shida yako nilazima ujue Leo nimekula hiki imekuwa hivi hii ni kazi kubwa kafanye uchunguzi was chop basis inawezekana hats ukawa na minyoo!.
vile vile kwa wengine ushauri no kwamba tuwe na mazoea ya kufanya medical check up! tusiende hospital pale tunaumwa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom