Nina Id zaidi ya 10
Kila ID inaingiza 7,000/= (post),
28,000 (thread)
Kila siku lazima nianzishe thread 10 kwa na comments (post) 50.
Nasign 630,000/= daily hapa JF.
Ata incentives nyingine kama mafuta, lunch, airtime+ internet bundles etc.
We unayefanya kazi inayokufanya uulize hayo maswali una sign sh. Ngap kwa siku?
Sasa kwa nn nisi comment thread haraka kujihakikishia income yangu?
Jamii forums pays!