Kila la heri bibieElimu Ni stashahada ya uhasibu ila kazi yoyote nipo tayari naomba msaada ma boss mliopo humu Mimi binti wa miaka 25 naishi kibaha pwani 0628882267 asanteee
Hujaenda kwa Abdulghafir apo Miyomboni ana ana kaza za uhasibuElimu ni stashahada ya uhasibu ila kazi yoyote nipo tayari naomba msaada ma boss mliopo humu Mimi binti wa miaka 25 naishi Kibaha, Pwani
0628882267
Asante!
Soko lao kubwa sana,ni ngumu Sana kumkuta mhasibu Hana kazi,maana kwenye kila mradi/ofisi wannahitajikaIla sijui kwanini sijawai kuona mtu anahitaji muhasibu aisee hii Carrier kuna battle
Aise kama market analysis unaifanya kama hivi mzee utakuja ground ikupige za uso hutoaminiSoko lao kubwa sana,ni ngumu Sana kumkuta mhasibu Hana kazi,maana kwenye kila mradi/ofisi wannahitajika
Kweli aisee wengi tuna elimu hyo hvyo kupata dah bahatiAise kama market analysis unaifanya kama hivi mzee utakuja ground ikupige za uso hutoamini
kwa analysis yako hii Walimu ndio wana soko pana saaana mpaka dakika hii walimu wote wangekuwa na ajira Tz kuna mashule kibao yaani Tz kuna shule nyingi ukiwekewa list ya hizo shule kwenye screen yako ya siku uanze ku Scrolling kwenda chini mpaka unamaliza kidore kinauma ila still we have dozen of teachers hawana ajira unaposema eti wana uwanja mpaka ujue una upana wa kihasi gani na wao wapo kihasi gani.
Sijaona mkuuHujaenda kwa Abdulghafir apo Miyomboni ana ana kaza za uhasibu
Nikushauri tu unapoomba nafasi sehemu yoyote kama ulivyofanya hapa ni vyema ukaweka details za CV yako ambazo sio personal, kama uzoefu, unajua nini, n.k. Ni vigumu mtu kuchukulia serious message kama hii ambayo ni kama unamuandikia rafiki akutunzie siti darasani!Elimu ni stashahada ya uhasibu ila kazi yoyote nipo tayari naomba msaada ma boss mliopo humu Mimi binti wa miaka 25 naishi Kibaha, Pwani
0628882267
Asante!
alafu elimu yake kama vita.Ila sijui kwanini sijawai kuona mtu anahitaji muhasibu aisee hii Carrier kuna battle
muelekeze basi mtoa post hiyo miradi na maofiisi yanayotaka wahasibuSoko lao kubwa sana,ni ngumu Sana kumkuta mhasibu Hana kazi,maana kwenye kila mradi/ofisi wannahitajika
Jidanganye!Soko lao kubwa sana,ni ngumu Sana kumkuta mhasibu Hana kazi,maana kwenye kila mradi/ofisi wannahitajika