Nina shida na picha ya Tanganyika

Nina shida na picha ya Tanganyika

Dah mkuu sijui nikushukuru kiasi gani ahsante sana ndugu

Ujenzi wa reli ya Kati Dar-Kigoma kianzia mwaka 1905
image.jpg


image.jpg


Kigoma
image.jpg
 
Camp ya jeshi la Wajerumani Tanganyika. Wakijiandaa na vita ya kwanza ya Dunia

image.jpg


image.jpg
 
Ujenzi wa rail ya kati, Kigoma - Dar
image.jpg

image.jpg


Ujenzi wa Station ya Dar, wafanyakazi wakiwa chini ya ulinzi wa Askari wa Kikolini (watanganyika)
image.jpg
 
Posta ya Zamani

image.jpg


Mtaa wa Kichwele enzi hizo
image.jpg


image.jpg
 
Nimeona ACACIA AVENUE Ina maana ni hii hii Acacia ya Buzwagi na Bulyanhulu Inayopigiwa kelele za kutuibia dhahabu kupitia makinikia?? Au ACACIA Nyingine??
hiyo Itakuwa Acacia nyingine
Acacia ya siku hizi ilibadilishwa jina kutokea barrick gold mine kama sijakosea
 
Back
Top Bottom