Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ndg zangu.
Nina uhitaji mkubwa sana na wa haraka wa nyoka watatu aina ya Koboko ( Black Mamba ) ; jike moja na madume 2.
Kuna mzungu ameniahidi donge nono sana kama nikimpelekea hawa viumbe hai.Wanatakiwa wawe na sumu zao.
Popote ulipo nchini hii, hkimpata tafadhari tuwasiliane haraka sana. UniPM.
Nyoka 1 nitakulipa TZS 1,000,000 ( Milioni moja tu ).
Wasalaam.
Nina uhitaji mkubwa sana na wa haraka wa nyoka watatu aina ya Koboko ( Black Mamba ) ; jike moja na madume 2.
Kuna mzungu ameniahidi donge nono sana kama nikimpelekea hawa viumbe hai.Wanatakiwa wawe na sumu zao.
Popote ulipo nchini hii, hkimpata tafadhari tuwasiliane haraka sana. UniPM.
Nyoka 1 nitakulipa TZS 1,000,000 ( Milioni moja tu ).
Wasalaam.