Tunachanga tu,bukubuku siyo issuenimekaukiwa
sina kitambulisho cha mpiga kura kk halaf nilipoteza halafu kuhusu kuchangiwa no mkuu wengi huku hawataniamini nisije itwa tapeli bule
Dhamana yako ni nini?Nimepata shida ya ghafla biashara imeyumbaa. Si unajua msimuu wa Magufuli huu
So nina uhitaji wa Tsh laki moja au elfu 80 naomba mnikopeshe. Nipo kwenye kipindi cha mpitoo biashara imeyumba sanaa huku arusha ilboru
Jomoni nisaidieni ni wapi hapa mjini arusha naweza kukopaa nina shida nazo haraka mnoo ya kutumia siku mbili tatu biashara yangu imeenda chakaa
yaani acha tu
Please jomoni maana uwiiii sijui hizi siku kadhaa za mbeleni nitaishije
Yupo katikatiSio ke sio me
Msaada: Najihisi mimi ni bisexual
Alafu wa kiumekumbe na wa mikoani mnapenda hilo neno "jomoni" aisee
Bonny hebu msaidieuwiiiiii nisaidieniiiiii
Duh hayaSio ke sio me
Msaada: Najihisi mimi ni bisexual
Ha ha ha halafu huyu akikopeshwa nadhani atalipa kitu kingine sio pesa tenaKwahyo Jomoni yake simpi hata mia kila saa jomoni jomoni
Msaada: Najihisi mimi ni bisexualHa ha ha halafu huyu akikopeshwa nadhani atalipa kitu kingine sio pesa tena
nimejikuta nacheka tuWatoto wetu wa kiume wameathirika sana
Hasara nyingine hii upande wetu wa KIUMENI!Kwan sio jike? Basi kama huyu ni dume Jf naiweka kwenye zone ya mtandao wa kuogopa.
Mwanaume hawez kuongea hiyo sauti ya kubanwa banwa kwenye engo za godoro.
na ushoga..