black jeus
Member
- Oct 16, 2020
- 66
- 174
Wakuu nawasalimu,
Mimi ni kijana niliyemaliza chuo ngazi ya shahada ya uhandis kitivo cha Elektroniki na Mawasiliano natafuta kazi yoyote nina uzoefu ufuatao:
1. Radio and tv transmission 3 years
2. Configuration of 2G,3G na Drive test
3. Computer application, hardware maintanace na kidgo software maintanace na kufundisha
4. Domestic Electrical Maintenance
5. Graphics
Niko tayar kwa kazi yoyote kati ya hizo hapo juu na zingne ambazo naweza kupata maelekezo kidgo kufanya.
Pia, niko tayari kujitolea, intern kwa kampuni yoyote mwenye uhitaji tafadhali naomba ucoment nitakuja PM
Natanguliza shukran wakuu!
Mimi ni kijana niliyemaliza chuo ngazi ya shahada ya uhandis kitivo cha Elektroniki na Mawasiliano natafuta kazi yoyote nina uzoefu ufuatao:
1. Radio and tv transmission 3 years
2. Configuration of 2G,3G na Drive test
3. Computer application, hardware maintanace na kidgo software maintanace na kufundisha
4. Domestic Electrical Maintenance
5. Graphics
Niko tayar kwa kazi yoyote kati ya hizo hapo juu na zingne ambazo naweza kupata maelekezo kidgo kufanya.
Pia, niko tayari kujitolea, intern kwa kampuni yoyote mwenye uhitaji tafadhali naomba ucoment nitakuja PM
Natanguliza shukran wakuu!