The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,637
- 52,964
Kama ukiweza kuondoka huko kwa njia zako bila mamlaka za huko kujua kua ume Exit basi utahesabika kua bado upo ndani ya nchi yao na Overstay itaendelea kuhesabika,utachukuliwa kama mtu anayeishi ndani ya nchi yao Illegal,Mkuu mbona unielewi mimi nataka kuludi nybani tz ila immigration their tight wanna give me underisable person and bann so i have to departure their country illegal so i want to know once am in my home country is overstay still counting?
So,ukiomba Visa ili urudi tena huko ulipotoroka illegal,system itaonyesha kua wewe bado upo ndani ya nchi yao na haujatoka,hapo ndio kesi itakapoanzia ueleze uliexit vipi kutoka nchini mwao.