Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Fanya kuchunguza kwanza.
Mmmh ushawahi kua victim nini?wanaume bwana na nyie mnakuwaga wambea sana, sasa haya mambo ya kuja kumuelezea mtu hadharani ni nini wakati mlipeana gizani, wanaume wengine wa kuvalishwa sketi kabisa.
Nyamayao said:anaume bwana na nyie mnakuwaga wambea sana, sasa haya mambo ya kuja kumuelezea mtu hadharani ni nini wakati mlipeana gizani, wanaume wengine wa kuvalishwa sketi kabisa.
Hapo ndipo nakupendea Nyamayao
Nitajiridhisha kwa kupretend kama nataka huko; tiGO...! Then, mara nigunduapo kuwa ni kweli basi nitakuwa na "peace of mind" to run away very immediate....! Otherwise, that might be a prove that they're enemies....!
sijatoa mawazo yangu juu ya hii post Konakali
abomination!!!nimeipenda kwa sababu mtu unapata taarifa kutoka kwa fourth person na unatakiwa kuzifanyia kazi. Utajuaje wanakurusha roho ili ummwage?
Pia suala la kusia mbegu kwenye mbolea imekuwa ni taboo ya vibint vya leo. Shangaa sana ukimkuta ambaye hafanyi hiyo kitu. muulize gaijin
sasa hapo mi sioni kitakachokufanya urun away, kwani kuna nini cha ajabu!binti kutoa tigo ndo kitu cha kushangaza!anway,vipi kwa wale ndugu zangu wanaopenda hiyo kitu,nao watarun away au ndo wataona ''kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi''
kwangu mimi nisiyeficha kitu ni very simple yaani ni kiasi cha kumuita tu pale kwa kumpigia simu au text msg aje ili jamaa aprove hayo anayoyasema ni kweli? yaani short and clear kwa nini ukae kimya au umuache mpenzio kwa maneno yasiyo na ushahidi. hakuna cha kuficha kama yeye ameweza kuongea dhahiri basi athibitishe mbele ya muhusika mkuu.
wakubwa mnaelewa kama jambo lipo basi hata vi ishara fulani vitaonekana tu.
Kabla sijamwacha nahakikisha kama kweli anatoa tiGo...
hebu tupe hiyo mbinu utakayotumia kuhakikisha!
raha ya mapenzi ya kuibana watu wasiwajue, wakijua hayawi matamu.na wewe mtoa hoja, kwa nini uingie na dem wako mkakaa pande tofauti?
Mnatoa ujumbe gani kwa hadhira au bado mnaogopa kuonwa na wapenzi wa zamani?
wanaume bwana na nyie mnakuwaga wambea sana, sasa haya mambo ya kuja kumuelezea mtu hadharani ni nini wakati mlipeana gizani, wanaume wengine wa kuvalishwa sketi kabisa.