Nina mpenzi dini tofauti

Nina mpenzi dini tofauti

Haya mambo yanatatiza jaman had kero ktk huu udin jaman mungu atusaidie ukimuona mtu analia jua kuwa analia na mengi miapa cpendi hz habar za kubaguana basi tu
 
Sidhani mtu akitoa Ushauri wa kuachana bila kuzingatia future ya mtoto wao. Mimi nimelelewa na mama,nimemisi love kutoka kwa baba,nakuja kupata uwezo kimaisha,najiandaa kwenda kumtafuta,naambiwa kesha kufa. Jinsi ninavyofeel inside ,si vyema na huyu mtoto waliozaa ajisikie hivi kama mimi. Fanyeni uamuzi ukizingatia upendo wenu kwa mtoto. Baadae mtoto atawalaumu nyie,sio wazazi wenu.
 
Mapenzi ni ya wawili lakini wazazi wana nafasi kubwa sana.
Kama kweli mnapendana na nyote mna nia ya kuishi pamoja,kwanza nyinyi wawili mkae muamue mnataka kuishi vipi like kila mmoja abaki na dini yake au mmoja amfuate mwenzie then msiwa face wazazi moja kwa moja,kila mmoja atafute wazee wenye busara katika familia yao amsaidie kuongea na wazazi. Wazazi watachukia sawa ila busara ikitawala mwisho wa siku hakuna kitakachoharibika.
Jiandaeni tu kwa majibu yanayofanana ya possible questions.
Kila la kheir.
 
Nyie mnapenda Muungano ila wazazi wetu hawaupendi! Basi undeni Serikali tatu! Nevertheless, mkizaa watoto wenu watakuwa dini gani?!!
 
Haya mambo ni magumu. Ninachojua mimi kwa mifano hai ya marafiki zangu walioona wakristu/waislamu ni kwamba baraka za wazazi ni muhimu sana. Kama wazazi wakiridhia basi mambo yanakuwa mazuri. Nina mifano miwili mitatu ya couples zilizolazimisha ndoa kama hii bila ya ridhaa ya wazazi na wote ndoa zao hazikudumu. Sisemi mkioana imani moja mtadumu, la hasha. Ila kukosa kwa baraka za wazazi si kitu kizuri. Kwa kesi yako naona ugumu kwani wazazi wa pande zote mbili ni wa mrengo wa kulia siasa kali. Whatever u do will be a catch 22. Nikushauri tu ndugu yangu, wewe endelea kumkamua huyo binti lakini suala la ndoa achana nalo. There are lots of women in this world wa imani yako.
 
Imani ni mahusiano kati ya mungu na binadamu. Jina uislam na ukristo havina nafasi kabisa kati ya mahusiano yako na mungu,jiulize swali kuna mungu wa wakrsito na mungu wa waislam? Wote twa mwabudu mungu mmoja. Tatizo letu ni kuwaogopa zaidi binadam kuliko mungu.wazazi wananafasi yao mbele ya mungu lakini si kila kitu wanachoamini wao basi ni sahihi na mungu anakibariki.
Katika mapenzi kinachotakiwa ni upendo wa kweli kati yenu wawili dini haina nafasi tena.
Kama kweli mnapendana kila mtu akaechini avae ujasiri awaambie wazazi wake kwa uwazi kuwa maisha ni ya kwenu na safari ya mbinguni ni ya kwenu mwenye kujua kama mnasitahili kuurthi au kutokuurith ufalme wake ni mungu na si wanadam kwa kigezo cha huyu muislam huyu mkristo.
Watakutishia laana na kukutenga lakini kamwe huwezi kupata laani kwakuwa umetimiza amri ya mwenyezi mungu ya mwanaume kumwoa mwanamke.
Komaa na mpenzi wako maisha ni ya kwenu na wala si ya wazazi wao maisha yao tayri yameshapata misingi ni hayo tu.
 
unaweza ukaenda oa mtu usiyemfurahia ukaja fanya mchepuko ndio njia kuu bure
 
Pagumu hapa!!!! Familia zote imani ni nzito. Kuachana ni muafaka zaidi. Itauma sana na vidonda vitapona.
 
Imani ni mahusiano kati ya mungu na binadamu. Jina uislam na ukristo havina nafasi kabisa kati ya mahusiano yako na mungu,jiulize swali kuna mungu wa wakrsito na mungu wa waislam? Wote twa mwabudu mungu mmoja. Tatizo letu ni kuwaogopa zaidi binadam kuliko mungu.wazazi wananafasi yao mbele ya mungu lakini si kila kitu wanachoamini wao basi ni sahihi na mungu anakibariki.
Katika mapenzi kinachotakiwa ni upendo wa kweli kati yenu wawili dini haina nafasi tena.
Kama kweli mnapendana kila mtu akaechini avae ujasiri awaambie wazazi wake kwa uwazi kuwa maisha ni ya kwenu na safari ya mbinguni ni ya kwenu mwenye kujua kama mnasitahili kuurthi au kutokuurith ufalme wake ni mungu na si wanadam kwa kigezo cha huyu muislam huyu mkristo.
Watakutishia laana na kukutenga lakini kamwe huwezi kupata laani kwakuwa umetimiza amri ya mwenyezi mungu ya mwanaume kumwoa mwanamke.
Komaa na mpenzi wako maisha ni ya kwenu na wala si ya wazazi wao maisha yao tayri yameshapata misingi ni hayo tu.

Mkuu tafadhali rejea kwenye highlighted text in red. It is debatable whether we believe in The Same God. But I will not delve into it now. Two, kwa imani yangu amri moja inaniamuru "waheshimu Baba na Mama upate miaka mingi na kheri duniani". Nasisitiza kuwa mapenzi yapo tu ila baraka za wazazi ni za msingi. Kujifanya ujuaji huwa inatu-cost sana vijana.
 
We unanafasi kubwa ya kubadili mawazo ya wazazi wako kuliko binti kbadili awazo ya wazazi wake.Hivyo bac kama unampenda kweli badili din hata kama n kwa uongo uongo.Jua mapensi n angamizo la roho,nafsi na mwili utakonda bure ukimkosa.
 
Back
Top Bottom