Vamigo
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 415
- 851
Bila kupoteza muda mm ni kijana mwenye umri tajwa hapo juu mwenye mke na mtoto mmoja, nawaza kuamua kutatua mgongano WA ki fikra juu yangu binafsi Kwa kuamua Moja, kurudi darasani.
Nilipata four ya 27 mwaka 2015, Sasa nataka nikaitafute elimu ya juu zaid kwakutudia mtihani na kuendelea mbele.
Historia ya elimu yangu mpaka nahitimu kidato Cha nne, niwe muwazi kwamba kwenye masomo yaliyo husiana na mambo ya kikokotozi nilipata f na sina msingi wowote, nikama nilikua nacheza shuleni. Hivyo inanipa ugumu kuamua au kuwa shape wanangu na kuwafundisha pale unapo bidi.
Nitakapo Rudi darasani, nimepanga kuanza na msingi hususani kwenye somo la hisabati, kisha nipate basics ya masomo haya physics, B/math, chemistry na biology Kwa secondary
Kisha A level nijikite kwenye comb hizi PCM, PCB
Chuo nikasomee mambo ya engineering kama sitabadili gia angani.
Licha ya soko la elimi bongo kushuka Kutokana na wasomi kukosa ajira ila nimejiridhisha kwamba elimu haiku guarantee ajira Bali inakupa ufunguo WA mambo mengi, ikiwa ni pamoja na upeo kufikilia na kutatua changamoto kuongezeka, connection kutoka sehemu mbali mbali.
Karibuni Kwa ushauri ndugu zangu elimu haina mwisho, elimu ni ufunguo WA maisha.
Nilipata four ya 27 mwaka 2015, Sasa nataka nikaitafute elimu ya juu zaid kwakutudia mtihani na kuendelea mbele.
Historia ya elimu yangu mpaka nahitimu kidato Cha nne, niwe muwazi kwamba kwenye masomo yaliyo husiana na mambo ya kikokotozi nilipata f na sina msingi wowote, nikama nilikua nacheza shuleni. Hivyo inanipa ugumu kuamua au kuwa shape wanangu na kuwafundisha pale unapo bidi.
Nitakapo Rudi darasani, nimepanga kuanza na msingi hususani kwenye somo la hisabati, kisha nipate basics ya masomo haya physics, B/math, chemistry na biology Kwa secondary
Kisha A level nijikite kwenye comb hizi PCM, PCB
Chuo nikasomee mambo ya engineering kama sitabadili gia angani.
Licha ya soko la elimi bongo kushuka Kutokana na wasomi kukosa ajira ila nimejiridhisha kwamba elimu haiku guarantee ajira Bali inakupa ufunguo WA mambo mengi, ikiwa ni pamoja na upeo kufikilia na kutatua changamoto kuongezeka, connection kutoka sehemu mbali mbali.
Karibuni Kwa ushauri ndugu zangu elimu haina mwisho, elimu ni ufunguo WA maisha.