KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,756
- 2,998
Tatizo mmesoma shule za kike.Sisi tuliosomea shule za kiboizia,mambo hayo yalikuwa ya kawaida tu kwa walegevu kama wewe.Lakini kwa watabe kama mimi,tena from Mbokamanyema! Unaanzaje japo kuniita tu kibabe?.
Ila kwa msaada we fanya tu kama wahenga walivyo sema "DAWA YA MOTO NI MOTO" .Tafuta choo cha maana kisha kajipigishe tena SIMU na kumbukumbu zote zitaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kwa msaada we fanya tu kama wahenga walivyo sema "DAWA YA MOTO NI MOTO" .Tafuta choo cha maana kisha kajipigishe tena SIMU na kumbukumbu zote zitaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app