Nina mkosi hadi nakosa mchumba humu?

Nina mkosi hadi nakosa mchumba humu?

Deshmo

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
4,820
Reaction score
4,264
Nioneeni huruma wadada
0783601111
 
Suala sio kutoa contacts kijana, jieleze kwa mapana wenye interests kama zako wakuelewe ndo wawe convinced kukutafta/kutokutafta
 
Unataka simu yako iwe bize kwa kupigiwa na wadada ama?
 
Bro una uchawi wa kizungu(gari)?,smartphone?mshiko wa kuhudumia?km huna kajipange kwanza then urudi,JF kuzito...utaishia kuitwa kaka bure
 
Mbona kuna nyuzi kibao tu za wadada wanatafuta waume humu? Au huzioni tukusaidie?
 
Hahaaaa kama una TEMBOCARD MASTERCARD utapata otherwise imekula kwako
 
Nioneeni huruma wadada
0783601111

Kijana -------- sana wewe,mi huwa sina unafiki dawa ni kukuchana "live",badala ya kuumiza kichwa utoke vp kimaisha,we unaomba huruma kutoka kwa magumegume ya JF,hivi kwa akili yako unadhani humu unaweza kupata mke wa kuoa? unadhani mke ni jambo la mchezo? wanawake humu wanataka pesa,we unataka uonewe huruma na nguo zako,katafute hela ndo uje.
 
watu mnakatisha tamaa sana,na nikwasabu nyie mmesha pata ila kumbukuen maisha yanaendelea huwezijua kesho nawewe ukajajikuta unatafuta mchumba!
 
Back
Top Bottom