kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Habari wakuu?
Iko hivi,jana around saa 3 usiku EAT nimetua nchini kutokea huko duniani ambako nimekua nikiishi for sometimes.
Kabla sijaja bongo, nilikua na misunderstanding ndogo na wife kuhusu uaminifu, alikua ananituhumu kuwa huko nilipokua nilikua sio muaminifu.
Two weeks before I landed at Julius Kambarage Nyerere International Airport I informed my sweet darling kuwa I will be coming back siku flani, but unfortunately hakuwepo Airport wala simu yoyote kuanzia mwanzo wa safari yangu.
Nimetua jana usiku bongo, Well hakuja kunipokea wala nini,me nikaona sio issue coz tunakaa nje ya mji huko huenda aliona kero ya jam.
Kufika home hakuna chakula mezani wala maji bafuni instead alitumwa mtoto tu kuja kuniambia kuwa baba chakula tayari,so nikalala na njaa.
Asubuhi ya leo nimeamka very morning nilikua na appointment flani ,sijanyooshewa nguo wala kuandaliwa breakfast, nikaondoka hivyo hivyo toka msosi niliokula Heathrow International Airport jana.
So wakuu niko hapa mikocheni mitaa flani nakula na kunywa, nawaza should.
I look for a side chick or something else?
Iko hivi,jana around saa 3 usiku EAT nimetua nchini kutokea huko duniani ambako nimekua nikiishi for sometimes.
Kabla sijaja bongo, nilikua na misunderstanding ndogo na wife kuhusu uaminifu, alikua ananituhumu kuwa huko nilipokua nilikua sio muaminifu.
Two weeks before I landed at Julius Kambarage Nyerere International Airport I informed my sweet darling kuwa I will be coming back siku flani, but unfortunately hakuwepo Airport wala simu yoyote kuanzia mwanzo wa safari yangu.
Nimetua jana usiku bongo, Well hakuja kunipokea wala nini,me nikaona sio issue coz tunakaa nje ya mji huko huenda aliona kero ya jam.
Kufika home hakuna chakula mezani wala maji bafuni instead alitumwa mtoto tu kuja kuniambia kuwa baba chakula tayari,so nikalala na njaa.
Asubuhi ya leo nimeamka very morning nilikua na appointment flani ,sijanyooshewa nguo wala kuandaliwa breakfast, nikaondoka hivyo hivyo toka msosi niliokula Heathrow International Airport jana.
So wakuu niko hapa mikocheni mitaa flani nakula na kunywa, nawaza should.
I look for a side chick or something else?