Nina milioni 2.9 nataka kupaua nyumba

Haya maswali wakati mwingine yanafikirisha.

Nyumba inaweza kua 9m kwa16m ikawa na hivyo vyuma unavyo tutajia . nyingine ikawa na 7 m kwa 9m nayo Ina idadi ya vyumba hivyo hivyo.
HAO WENYE UJUZI WANAIJI YAFUATAYO ILI WAWEZE KUSAIDIA.

1:Nivyema kuweka Square metre,
(Eneo la mraba) ya jengo husika au talajiwa. kumbuka hata ukitaja ulefu kama nilivyo taja hapo juu, 9m×16m, inaweza isilete jibu sahihi kwasababu nyuma za kisasa hizinyoki kama drasa.

2: wekeni "Bei" za biza husika kwa eneo unako fanyika ujenzi .

NB,: sijasema utaje ulipo , taja bei tu.hii itasaidia kukokotoa gharama kwa sababu Bei hutofautia eneo na eneo.

Bei Mbao Sawala Mufindi, nitofauti memba moto Kongwa.

Hali kadhalika, Bei ya bati kivule haulingangani na kandete Kule Busokero.

Jambo lingine ujenzi hotofautiana kwa mazingira , pia kipato.

Ukiwa Arusha kwa maeneo Njiro, kecki hutengenezwa kwa mbao za 4×2 na kama jengo ni kubwa kidogo za chini tire been Zina kaa2( double) king post na cros zinabanwa katikati.

3 ×2niyakupigia bati.

Ukienda , Singida utakuta inatumika 3×2 .

Dodoma mbande SagaraB&A hata Kongwa mjini, nimekuta wanatumwa 2×2. Na usishangae japo, 2×2 sishauli mtu kuitumia kwenye kuunda Keck.
nibora kama umekwama ukanunua Mirunda, endapo inapatikana kwa maeneo Yako, hii inaweza kuokoa gharama nakukupa uimara Zaid kuliko 2×2.
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla na rejareja :-
2*2 fut12=2500
2*3 fut 12=3500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=14000
1*10fut 12 fisher board( treated)=15000
2*4 fut18(treated)=10000
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu pia Tunafanya delivery kwa wakazi wa Dar es salaam
Ofisi zetu zipo Tegeta kibaoni-Bagamoyo road
 
Back
Top Bottom