BuhahahahahaKwa mtego huo huna unaye mnasa jaribu huko kwenye mitandao ya Watoto
Huwezi mpata mtu humu mkuu wasiojulikana wanapitiaga humuMaavi nimnase Nani sasa? Nataka serious sana hii passport na hakuna haja ya kuonana na mhusika tunafanya hapa hapa JF biashara. Its black Market stuffs.
Maavi nimnase Nani sasa? Nataka serious sana hii passport na hakuna haja ya kuonana na mhusika tunafanya hapa hapa JF biashara. Its black Market stuffs.
Aliye kutuma mwambie JF sio Facebook
Hiyo ni pesa kubwa sana, weka 300k kwenye bahasha ya kaki alafu nenda uhamiaji, ukifika baada ya salamu weka bahasha mezani alafu kaa kimya!!Kichwa cha habari chajieleza sitaki middle man nataka mtu wa kutoka ndani ya uhamiaji kabisa.
Nataka passport ndani ya wiki 2 kwa hiyo bei tajwa hapo juu? Kama unamudu Kazi njoo inbobo.
Kichwa cha habari chajieleza sitaki middle man nataka mtu wa kutoka ndani ya uhamiaji kabisa.
Nataka passport ndani ya wiki 2 kwa hiyo bei tajwa hapo juu? Kama unamudu Kazi njoo inbobo.
Passport haiuzwi fata utaratibu mbona zinatokaKichwa cha habari chajieleza sitaki middle man nataka mtu wa kutoka ndani ya uhamiaji kabisa.
Nataka passport ndani ya wiki 2 kwa hiyo bei tajwa hapo juu? Kama unamudu Kazi njoo inbobo.