Akikutongoza si unamkubalia fresh tu?Namsalimiaga ila simuogopi kama mwanzo 😃😃
🏃🏃
Hapana kwakweli... Yani anaonekana ni mtu mzima kabisaAkikutongoza si unamkubalia fresh tu?
🤣🤣🤣 Shida vijana wengi si waowajiHapana kwakweli... Yani anaonekana ni mtu mzima kabisa
Ila walau uwe na mtu mnayematch kidogo 😃😃Shida vijana wengi si waowaji
Ila ni kweli aiseeIla walau uwe na mtu mnayematch kidogo 😃😃
Lukaku wakati ana miaka 23 alikuwa km ana miaka 33 ila alikuwa anakiwasha km kawa licha ya kwamba watu wengi walikuwa wanamsema kuhusu muonekano wakeMimi ni kijana WA kiume Nimezaliwa 1995 (27miaka) Ila muonekano WANGU ni tofauti kabsa n'a umri wangu halisi.
Nmeuliza watu randomly mtaani wakadirie umri majibu yanarange ,miaka 34,35,36
Nimepata emotional Demage , confidence imepangua sana
Tizama Hizi picha zangu Nmepiga Leo then tia neno au ushauri[emoji848][emoji848]
yeah 👊👊Ila ni kweli aisee
Kwa tofauti ya miaka mingapi?Bora wewe,mimi nikitangulizana na kaka yangu ninayemfuta mara nne watu husema niko na mdogo wangu,mimi sijari nadunda tu,can you imagine mtu unayemfuta mara nne watu wakuambie ni mdogo wako!?
18 yrsKwa tofauti ya miaka mingapi?
Dah, wapi hii. Hatari sana.
18 yrs
Abnormalities!18 yrs
Pole sana...picha ziko wapiMimi ni kijana WA kiume Nimezaliwa 1995 (27miaka) Ila muonekano WANGU ni tofauti kabsa n'a umri wangu halisi.
Nmeuliza watu randomly mtaani wakadirie umri majibu yanarange ,miaka 34,35,36
Nimepata emotional Demage , confidence imepangua sana
Tizama Hizi picha zangu Nmepiga Leo then tia neno au ushauri🤔🤔