Nina miaka 21 na sijafanya mapenzi

Nina miaka 21 na sijafanya mapenzi

ally habib

Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
37
Reaction score
8
Mimi n mwanaume wa miaka 21 sijawahi kufanya mapenzi je itaniletea matatizo ntakapooa?
 
Kuna theory ya use and missuse kwamba..kila kisichotumika with time aidha kinapungua size au kinpotea kabisa........
 
am new in jf ndo mana napost ki facebook kiwatengu alaf kashata ya naz ndo nin?
 
usidanganyike, mimi nilianza huo mchezo na miaka 23 na nipo vizuri tu. jitunze kijana, achana na use and misuse theories
 
am new in jf ndo mana napost ki facebook kiwatengu alaf kashata ya naz ndo nin?

Karibu sana! usijali kidogo kidogo tu utaelewa!! kwani ally we unaonaje? je, ukibakia hivyo hivyo utapata matatizo? 21 bado u mdogo!!
 
Back
Top Bottom