Nina maumbile madogo mpaka najishangaa!

Hata sijui sababu ni nini, maana kama ni kula nakula vizuri tu na mke wangu anajitahidi kunipikia mapochopocho mpaka basi lakini mwili wangu hauridhiki sijui kwanini, yaani nimekuwa na maumbile madogo wala sinenepi kabisaa mpaka ndugu zangu wanahisi kwamba huenda mke wangu hanipi chakula na ndio maana sinenepi kumbe binti wa watu anajitahidi kukalangiza lakini mwili wangu huu hauna shukurani.

Hebu nisaidieani, sababu hasa ya kukosa kwangu siha ni nini?

Ndo hapo sasa! Zakari ndo kila kitu
 
platozoom namaanisha maumbile yangu ya mwili ni madogo, sinenepi wala nini, wakati nakula vizuri tu

Una maana ni mwembamba kupita kiasi? Kuna wembamba wengi ambao ni warefu na hawa hawawezi kuambiwa wana umbo dogo, na pia kuna vifupi ambavyo ni vinene vimejaza na hawa huambiwa wana umbo dogo, sasa wewe uko vipi?
 
ushauri.1.kapime afya yako.2.punguza kufanya mapenzi 3.kama unavuta sigara acha mara moja.4.ndoa yako ni yako achana na maneno ya familia.
 
kuwa muwazi,umekonda baada ya kuoa mkeo au tangu kwenu?maana kama ndivyo ulivyo tangu hata hujaoa,hao ndugu wanampaje lawama mkeo?
tatizo mke wangu analaumiwa sana na ndugu zangu, eti hanipi chakula na yeye hana amani kabisa
 
Sasa wanamlaumu mkeo kwani kabla hujaoa ulikua mnene??ndugu wengine hovyo kweli!
 
Judgement, Hhahahaaa hilo nalo neno.....

@mleta sredi:-
Swali kwa ndugu zako, wanadhani mkeo hakulishi ina maana hata ulivyokuwa unaishi
kwenu ulikuwa na kimwili cha kishakaji hivyo
hivyo ina maana walikuwa hawakupi msosi? Wakati unajitegemea pia ulikuwa huli?

Julius amekaa Ikulu for 23 yrs hajawahi ever kuwa mnene, ama Kitambi !
Unadhani Maria hakua akimpa chakula ? Au alikua hajui makaangizo? Na akiwa (head of state) ungetegemea mwili wake uweje? Thn check aliyemfatia aliingia na body ya kawaida, lakini alimaliza muda wake akiwa kama Tembo.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom