Nina matatizo gan? Au kawaida tu

Nina matatizo gan? Au kawaida tu

Nadhani huo ni udhaifu, ukiuendekeza unaweza ukakufanya ukawa mbahili hata kwa familia yako baada ya kuoa.

Ubahili ni hila na ni tabia mbaya kabisa. Naomba uninukuu vizuri, sijasema uhonge ovyo ila ninachosema ni kwamba hiyo tabia inaweza kukupelekea ukawa bahili.

Mtume ametusihi tuogope ubahili na baadhi ya wataalamu wa uislam wanasema mtu bahili akija akiposa kwenu basi mkataeni.

Kwahiyo mkuu hebu angalia tena hii falsafa kwa jicho la kipekee. Mimi kwa kweli nkiwa nacho natoa.
 
Jaman msipagawe hana doo.

Uvumilivu, subira
vimeisha poteza dira
maana ngawila
haipatikan kwa uchache huu wa ajira,
Ninacho taka nishinde
na wala sio nifunge
au nitoke bila bila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshakua, sasa hifadhi hela hizo uje ufanye mambo ya kimaendeleo utakutama nao mbele wakiwa wanahitaji mwenye maendeleo sio mwenye pesa tena. Hata ukihonga milioni 2 kwa siku hutapewa tuzo ya mhongaji bora
.....Nashindwa kumuonga mwanamke zaidi ya 10000.hata nikiwa na pesa nyingi... Sijuhi nn tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani huo ni udhaifu, ukiuendekeza unaweza ukakufanya ukawa mbahili hata kwa familia yako baada ya kuoa.

Ubahili ni hila na ni tabia mbaya kabisa. Naomba uninukuu vizuri, sijasema uhonge ovyo ila ninachosema ni kwamba hiyo tabia inaweza kukupelekea ukawa bahili.

Mtume ametusihi tuogope ubahili na baadhi ya wataalamu wa uislam wanasema mtu bahili akija akiposa kwenu basi mkataeni.

Kwahiyo mkuu hebu angalia tena hii falsafa kwa jicho la kipekee. Mimi kwa kweli nkiwa nacho natoa.
Nashindwa kutoa zaidi ya msimbazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa kama huna pesa unahangaika na wanawake wa kazi gani?
 
Mkuu upo kama mimi. Mimi mpaka nifanye uhakiki kwanza ndio nakupa hela, unajua wengine huwa ni makangomba(sijui kama nimeandika vizuri)


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom