Nina maswali kadhaa hapa

Nina maswali kadhaa hapa

Scott junior

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2022
Posts
2,412
Reaction score
3,198
1. Kwanini ulimwengu unaonekana umetengenezwa mahsusi kwaajili ya kuishi?
  • Constants za fizikia kama gravity, strong force, proton mass n.k. ziko sahihi mno.
  • Kwa nini kila kitu kiko "timing" ya kutosha kutuwezesha kuishi?
2. Iwapo ubongo ni kemikali tu, kwanini unafikiri unapaswa kuiamini akili yako

- Kama mawazo ni matokeo ya michanganyiko ya kemikali, si unaweza kukosea bila sababu?
- unajuaje fikra zako ni za kuaminika?

3. Uwepo wa sheria unatokana na nini kama hakuna sheria - Muweka?

• Kama kuna laws of nature, kuna chanzo chake?
• Seria zinawezaje kuwepo bia akili ya kuzitunga?

4. Je sayansi inaweza elezea kila kitu?

-Kuna hisia, maadili, uzuri, namba, mantiki... vitu ambavyo si vya kimwili.
-Je, sayansi inaweza kufafanua vyote?

5. Kwanini binadamu wote wanahisi kuna kiwango cha haki?

  • kila mtu hupinga dhula, hata wanyang’anyi.
  • Je hisia ya haki na udhalimu inatoka wapi?

6. Kwanini tunashauku ya mambo ya kiroho
  • Historia nzima binadamu amekuwa akiabudu au kuamini nguvu ya juu.
  • kwanini hamu hii IPO ndani ya binadamu?

7. Kwanini mwanafalsafa mkubwa kama
Einstein, Newton, Galileo aliamini kuwa kuna akili nyuma ya ulimwengu?

-Je, hawa walishindwa kufikiri?
_ Au waliona kitu kingine cha ndani?

8. Kwanini atheist aamini kitu kisichoonekana ( electrons, gravity)
Lakini akatae Mungu kwasababu haonekani?

-Electrons hazionekani kwa macho, tunaziamini kwa madhara yake.
-Mungu pia huaminiwa kwa matokeo yake kwenye maisha
-TOFAUTI IKO WAPI?

9. Bila Mungu, kuna tofauti gani ya ki objective kati ya mema na mabaya?

  • kama hakuna standard ya juu, mema na mabaya yanakuwa mawazo tu?
  • Je ubakaji, mauaji, udanganyifu ni mabaya au tunadhania ni mabaya tu?

10. Kwanini binadamu wana dhamira
(Conscience)?

  • Nini kinakufanya ujisikie vibaya pale ukifanya kosa?
  • Evolution pekee inaweza elezea hilo?

11. Je upendo unaweza kuwa kemikali tu?

  • Unapompenda mtu, ni sumu ya dopamine tu?
  • Hiyo inatosha kuelezea kila kitu?
 
Kuna higher consiosness ambayo ni Chanzo cha uhai na uumbaji wote,hakuna kitu kimetokea kwa bahati mbaya aka boom bang theory.

The Real Source(Chanzo Halisi) ni kimoja tu na hana mwanzo wala mwisho ni eternity.
 
Infropreneur na KENZY ni wataalamu wa hayo mambo.
Jibu langu lipo kwenye huu uzi.
 
Kuna higher consiosness ambayo ni Chanzo cha uhai na uumbaji wote,hakuna kitu kimetokea kwa bahati mbaya aka boom bang theory.

The Real Source(Chanzo Halisi) ni kimoja tu na hana mwanzo wala mwisho ni eternity.
Ulivyoandika kama vile unahakika na sheria zote za ulimwengu na kama vile unazijua sana!..😅

Mkuu tupo kwenye ombwe lakutokujua maana hatuna hata hakika kama kuna kitu kinaweza kutokuwa na mwanzo wala mwisho!.
sidhani kama kuna pia anaefahamu mwanzo ni upi na mwisho ni upi!, ulimwengu utakapokuja kufunuka kwenye fahamu zetu utatushangaza sana huenda kukawa na sheria ambazo hatujawahi hata kuziwaza!.
 
1. Kwanini ulimwengu unaonekana umetengenezwa mahsusi kwaajili ya kuishi?
  • Constants za fizikia kama gravity, strong force, proton mass n.k. ziko sahihi mno.
  • Kwa nini kila kitu kiko "timing" ya kutosha kutuwezesha kuishi?
2. Iwapo ubongo ni kemikali tu, kwanini unafikiri unapaswa kuiamini akili yako

- Kama mawazo ni matokeo ya michanganyiko ya kemikali, si unaweza kukosea bila sababu?
- unajuaje fikra zako ni za kuaminika?

3. Uwepo wa sheria unatokana na nini kama hakuna sheria - Muweka?

• Kama kuna laws of nature, kuna chanzo chake?
• Seria zinawezaje kuwepo bia akili ya kuzitunga?

4. Je sayansi inaweza elezea kila kitu?

-Kuna hisia, maadili, uzuri, namba, mantiki... vitu ambavyo si vya kimwili.
-Je, sayansi inaweza kufafanua vyote?

5. Kwanini binadamu wote wanahisi kuna kiwango cha haki?

  • kila mtu hupinga dhula, hata wanyang’anyi.
  • Je hisia ya haki na udhalimu inatoka wapi?

6. Kwanini tunashauku ya mambo ya kiroho
  • Historia nzima binadamu amekuwa akiabudu au kuamini nguvu ya juu.
  • kwanini hamu hii IPO ndani ya binadamu?

7. Kwanini mwanafalsafa mkubwa kama
Einstein, Newton, Galileo aliamini kuwa kuna akili nyuma ya ulimwengu?

-Je, hawa walishindwa kufikiri?
_ Au waliona kitu kingine cha ndani?

8. Kwanini atheist aamini kitu kisichoonekana ( electrons, gravity)
Lakini akatae Mungu kwasababu haonekani?

-Electrons hazionekani kwa macho, tunaziamini kwa madhara yake.
-Mungu pia huaminiwa kwa matokeo yake kwenye maisha
-TOFAUTI IKO WAPI?

9. Bila Mungu, kuna tofauti gani ya ki objective kati ya mema na mabaya?

  • kama hakuna standard ya juu, mema na mabaya yanakuwa mawazo tu?
  • Je ubakaji, mauaji, udanganyifu ni mabaya au tunadhania ni mabaya tu?

10. Kwanini binadamu wana dhamira
(Conscience)?

  • Nini kinakufanya ujisikie vibaya pale ukifanya kosa?
  • Evolution pekee inaweza elezea hilo?

11. Je upendo unaweza kuwa kemikali tu?

  • Unapompenda mtu, ni sumu ya dopamine tu?
  • Hiyo inatosha kuelezea kila kitu?
Moja ya maswali tata yanayoonyesha Dunia na vitu vyake havikutokea bila sababu . Lazima kuna aliyeweka mifumo yote.

Mimi huwa naangalia mwili wangu ulivyo tata naelewa kwamba si rahisi kujitokeza tu.

1. Kwanini kuvurugwa kwa pingili moja ya uti wa mgongo iharibu mfumo wangu wote wa kutembea au kusogeza mwili wangu ?

2. Kwanini kwenye goti hakuna mfupa wote unaounganisha upande wa chini na juu lakini ninaweza kusimama wima?
3. Mechanism ya mfumo wa hewa na chakula. Kwanini uko vile? Ni nani alifanya kusiwe na mwingiliano kiasi kwamba chakula au kiminika kikipa kwenye koo la hewa mfumo wa mwili unakitema kwa kupaliwa?

4. Ni nani aliye install thermostatic mechanism kwenye mfumo wa tumbo kiasi kwamba ukinywa kitu cha moto utumbo au tumbo haviungui au kugandishwa na kinywaji cha baridi?

5. Nani aliweka chakula kitengeneze virutubisho mwilini na kisha kitoke kama kinyesi? Au umuhimu wa maji mwilini kisha kuwa mkojo?

Maswali ni mengi ingawa mengine yanajibiwa na science lakini mwishowe lazima tuamini kuwa kuna master mind wa vitu vyote
 
Nasema hivyo sababu yupo,na sheria zake zipo mfano tulikusudiwa tuishi umilele hapahapa juu ya nchi na ndilo kusudi ila tu kwa usafi wa moyo.
 
Niko na wanangu wa kipemba pamoja na mabinti wabichi wa Kiislamu tunasheherekea sikukuu kwa kula kitimoto Safi kilicho halali mbele ya Allah, then tutaupooza mwili kwa kuunganisha vikojoleo na hao mabinti 😎
Nasikia wao hawampendi nguruwe(aliyehai) ila nyama yake wanaipendelea.

Kuna ukweli?
 
Moja ya maswali tata yanayoonyesha Dunia na vitu vyake havikutokea bila sababu . Lazima kuna aliyeweka mifumo yote.

Mimi huwa naangalia mwili wangu ulivyo tata naelewa kwamba si rahisi kujitokeza tu.

1. Kwanini kuvurugwa kwa pingili moja ya uti wa mgongo iharibu mfumo wangu wote wa kutembea au kusogeza mwili wangu ?

2. Kwanini kwenye goti hakuna mfupa wote unaounganisha upande wa chini na juu lakini ninaweza kusimama wima?
3. Mechanism ya mfumo wa hewa na chakula. Kwanini uko vile? Ni nani alifanya kusiwe na mwingiliano kiasi kwamba chakula au kiminika kikipa kwenye koo la hewa mfumo wa mwili unakitema kwa kupaliwa?

4. Ni nani aliye install thermostatic mechanism kwenye mfumo wa tumbo kiasi kwamba ukinywa kitu cha moto utumbo au tumbo haviungui au kugandishwa na kinywaji cha baridi?

5. Nani aliweka chakula kitengeneze virutubisho mwilini na kisha kitoke kama kinyesi? Au umuhimu wa maji mwilini kisha kuwa mkojo?

Maswali ni mengi ingawa mengine yanajibiwa na science lakini mwishowe lazima tuamini kuwa kuna master mind wa vitu vyote
.
 
Bora hata wewe.

Kuna wengne asubuhi wameenda kanisan vizur kabisa.

Ila sasahivi wameshalewa.😁😁😁😁

Anyway hata Pepon tumeahidiwa mvinjo. Wacha na mm nisogee sasa maeneo ya tukio.
Wengine waliingia kabisa na chupa za vileo kanisani 😂.
 
Jibu langu lipo kwenye huu uzi.
Kichwa kikitulia nitausoma na kuuelewa huu uzi maana naona uko vyema sana.
 
Back
Top Bottom