Nina mashaka na simu za TECNO

Nina mashaka na simu za TECNO

Goodluck TZ

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
1,448
Reaction score
662
wadau mko poa ?
kama kichwa juu kinavyosema mimi kwa upande wangu namashaka na simu za TECNO kwa sababu weng wanaoomba msaada humu jf,fb & whatsapp ni kuhusiana na simu hz ni mara chache kuona p0st kuhusiana na SAMSUNG,iphone,n0kia nk.
 
wadau mko poa ?
kama kichwa juu kinavyosema mimi kwa upande wangu namashaka na simu za TECNO kwa sababu weng wanaoomba msaada humu jf,fb & whatsapp ni kuhusiana na simu hz ni mara chache kuona p0st kuhusiana na SAMSUNG,iphone,n0kia nk.
Ni SIMU bora sana na zinatumiwa na watu wengi kutokana na kuwa zinapatikana kwa bei nafuu
Hiyo ndiyo sababu
 
wadau mko poa ?
kama kichwa juu kinavyosema mimi kwa upande wangu namashaka na simu za TECNO kwa sababu weng wanaoomba msaada humu jf,fb & whatsapp ni kuhusiana na simu hz ni mara chache kuona p0st kuhusiana na SAMSUNG,iphone,n0kia nk.
Tecno no Simu inayomilikiwa na wengi hivyo lazima iwe na changamoto nyingi
 
Unacho kisema ni kweli, Tecno ni kampuni zile za "You get what you pay for." Kimsingi hizi simu wanazitengeneza kwa upesi na nina amini hela ya kutengeneza software ni ndogo (kwa simu zao chache) Yani na maanisha hizi simu wanazozipa promo kubwa kama Camon c8, J8 ndio wanazipendelea na nadhani software wanazioptimize vizuri sana lakini nyingine jua imekula kwako.

Lakini kuna vitu hii kampuni inavifanya ambavyo vinanifurahisha especially hii update kwenda kwenye Marshmallow na pia kuweka service centre kila eneo nimewaona wanaanza kujifunza na in 5 years Tecno watakuwa competition kubwa sana kwa makampuni haya makubwa hapa Africa.

*Na haya matatizo yapo kwenye kila manufacturer kwenye percentage flani ya simu mfano ukiangalia simu kama LG g4 ile simu bomu baada ya muda motherboard inaharibika so watatoa matokeo mapya yaku combat hilo tatizo, au LG nexus 5 display ilikuwa inakufa pamoja na LG G3 baada ya muda wa mwaka etc. Zunguka online Xda, reddit utakuta users wengi wana matatizo makubwa na haya makampuni hadi wanaanzisha petition lakini as long as una warranty sio tabu ndio maana nawa miss sana Nokia hii kampuni inajua sana quality yani kuna simu humu ndani kwetu zinamiaka kumi zinawaka na kupiga kazi fresh.
 
Tecno no Simu inayomilikiwa na wengi hivyo lazima iwe na changamoto nyingi
Umesema vema, watu wengi hivyo kwa nadharia tunategemea kutakuwa na changamoto nyingi lakini haimaanishi kwamba siku zote kutakuwa na changamoto. Hivyo ni vema tujue hizo changamoto kwanza ili tuone ziko kwenye kundi gani la mtumiaji, software au hardware?. Ili tuweze kukonkludi kirahisi.
 
Ok naweza kukubaliana na wewe mkuu lakini matatizo yake ni nini hasa?. Lakini unapojibu kumbuka nami pia hapa natumia old techno L3.karibu.
Ndugu ningependa tuwe wakweli maana nimekuwa nasoma baadhi ya uzi humu lkn kitu nilichogundua kuna chuki flani hvi inaenezwa juu ya cm za tecno.
Waanzisha uzi kuponda tecno ukiwauliza tatizo nini hawako bayana ila ni chuki au pengine kuna jirani au rafiki yake anamiliki smartphone kama yeye.
Hakuna brands yeyote isiokosa kasoro na makampuni wanajitahidi kuhakikisha hawapotezi wateja.
H6 nilivyoiona ilikuwa na tatizo la ku heat ukiwa una cheki movies on line or watching football. Kama kuna kingine basi sawa ila kwa tecno wamejitahidi and I'm expecting more than that.
 
Ndugu ningependa tuwe wakweli maana nimekuwa nasoma baadhi ya uzi humu lkn kitu nilichogundua kuna chuki flani hvi inaenezwa juu ya cm za tecno.
Waanzisha uzi kuponda tecno ukiwauliza tatizo nini hawako bayana ila ni chuki au pengine kuna jirani au rafiki yake anamiliki smartphone kama yeye.
Hakuna brands yeyote isiokosa kasoro na makampuni wanajitahidi kuhakikisha hawapotezi wateja.
H6 nilivyoiona ilikuwa na tatizo la ku heat ukiwa una cheki movies on line or watching football. Kama kuna kingine basi sawa ila kwa tecno wamejitahidi and I'm expecting more than that.
Umeongea vema mkuu.
 
Kama una mashala tafuta simu usyo na mashaka nayo sio kila kitu hadi ulete uzi hapa
 
.....matumia phantom 5, sijawahijutia pesa nliotumia kuinunua cmu hii...!!!!
 
Back
Top Bottom